Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Dakika chache zilizopita nimesikia milipuko kadhaa maeneo ya baharini upande wa pwani ya masaki, msasani au kunduchi. Kuna yeyote mwenye taarifa zaidi?
Dakika chache zilizopita nimesikia milipuko kadhaa maeneo ya baharini upande wa pwani ya masaki, msasani au kunduchi. Kuna yeyote mwenye taarifa zaidi?
Au mkwere wamempokonya tayari nchi? hahahahahahaha
Ni foreign navy ship inaingia port but sijajua ni ya nchi gani
Au mkwere wamempokonya tayari nchi? hahahahahahaha
Au mkwere wamempokonya tayari nchi? hahahahahahaha
Watu wana ndoto za ajabu kwelisidhani,TBC wangetuambia.au mapinduzi yamezimwa?
Watanzania wakisikia mlipuko wanachanganyikiwa sijui kama tutakuja kupiga hatua na uoga wetu
Au mkwere wamempokonya tayari nchi? hahahahahahaha
uenda watakuwa wamempokonya
mkwere bado yupo hollwood na ma staa wenzake akina bruce wills, john travota, alpacino na samwel jackson bila kumsahau tomy lee johnes. Wanakula bata kwenye makasino, wanajiachia na masauna ya ukweli wala hata hajui kama kuna vimilipuko. Msihofu ni vijimambo tu.