wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Usiwalaumu sana eti ndoo ikiwa na rangi ni nzito atiHao wezi ni wapumbavu sana, bora wangeiba rangi tu ijulikane tu ila kumwaga inaonyesha hilo eneo unaloishi watu bado wanaishi maisha ya old stone age