Nimeshuhudia mtu mwenye dalili za ugonjwa wa Corona akizidiwa sokoni Moshi leo

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,991
17,888
Covid-19 imeanza kula watu kwa umati.

Leo asubuhi nilielekea pande hizo kujinunulia mahitaji si unajua mfungo huu? Na ikizingatiwa nimekimbia Corona week sasa nipo huku ila soon narudi maana ndugu zangu ndo tufanyeje sasa Dar ndo maisha na family ipo huko.

Leo nimeshuhudia kwa macho yangu mawili Soko moja Moshi, Masama jamaa mmoja ambaye ni dereva wa malori yanayobeba ndizi akizidiwa na dalili zote za Corona na kuanguka pale sokoni ndo ikabidi namba ya dharura ipigwe na likaja gari na wale jamaa na jezi zao wakaja kumbeba na kumkimbiza Mawenzi.

Hali ni mbaya Tanzania kweli nimeamini Taifa linaenda kuangamia kabisa.

Halafu kuna tetesi kwamba Mawenzi imejaa wagonjwa kiukweli hali ni mbaya.

Kwa wale mliokimbia Corona Dar mkaja Moshi nawasihi bebeni tahadhari, Corona ishawasili huku tayari mpaka migombani kule. Mungu atunuru "Ya allah tunusuru sisi waja wako"

Nitaendelea kuilaumu Serikali tu kwa asilimia 100%. Taifa linaenda kuangamia kwa sababu ya sera za mtu mmoja tu mbinafsi

Napata uchungu sana nawafikiria kina mama,na kina bibi ambao wanaishi kwa kutegemea biashara masokoni hali yao itakuaje na wanawake wajane wanaoishi kwa kuuza nyanya na vitunguu masokoni kulisha watoto wao kimahitaji itakuaje?

Taifa linakwenda kuangamia ndugu zangu nikiwaza Tanzania kwa mwendo huu naiona Italy ya pili inauma sana

Endeleeni kuficha tu serikali ya ajabu hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Covid-19 imeanza kula watu kwa umati.

Leo asubuhi nilielekea pande hizo kujinunulia mahitaji si unajua mfungo huu? Na ikizingatiwa nimekimbia Corona week sasa nipo huku ila soon narudi maana ndugu zangu ndo tufanyeje sasa Dar ndo maisha na family ipo huko.

Leo nimeshuhudia kwa macho yangu mawili Soko moja Moshi, Masama jamaa mmoja ambaye ni dereva wa malori yanayobeba ndizi akizidiwa na dalili zote za Corona na kuanguka pale sokoni ndo ikabidi namba ya dharura ipigwe na likaja gari na wale jamaa na jezi zao wakaja kumbeba na kumkimbiza Mawenzi.

Hali ni mbaya Tanzania kweli nimeamini Taifa linaenda kuangamia kabisa.

Halafu kuna tetesi kwamba Mawenzi imejaa wagonjwa kiukweli hali ni mbaya.

Kwa wale mliokimbia Corona Dar mkaja Moshi nawasihi bebeni tahadhari, Corona ishawasili huku tayari mpaka migombani kule. Mungu atunuru "Ya allah tunusuru sisi waja wako"

Nitaendelea kuilaumu Serikali tu kwa asilimia 100%. Tafa linaenda kuangamia kwa sababu ya sera za mtu mmoja tu mbinafsi

Napata uchungu sana nawafikiria kina mama,na kina bibi ambao wanaishi kwa kutegemea biashara masokoni hali yao itakuaje na wanawake wajane wanaoishi kwa kuuza nyanya na vitunguu masokoni kulisha watoto wao kimahitaji itakuaje?

Taifa linakwenda kuangamia ndugu zangu nikiwaza Tanzania kwa mwendo huu naiona Italy ya pili inauma sana

Endeleeni kuficha tu serikali ya ajabu hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Kiongozi
japo kidactari haimpasi mtu yeyote asiye na taaluma ya Afya kuhukumu mtu kuwa anaumwa ugojwa flani. magonjwa huwa hayapimwi kwa macho. Unanikumbusha Zamani mtu akikonda tu anaambiwa ni Ukimwi; Tukumbuke daili za magonjwa zinaingiliana sana na baadhi ya magojwa ya ghafla ya mtu kuzidiwa kwa haraka ni shinikizo la damu nk

2. Umesema unailaumu Serkali kwa Asilimia 100% ILA hujasema sababu za kuilaumu Serikali kiasi hicho ili uungwe mkono na wasomaji. Mtu kusema tu anailaumu Serikali bila kutaja sababu kwa mimi naona haina mashiko
Tatizo la Korona ni kubwa ulaya na Marekani na Asia pia, hivyo bila kutoa sababu hoja yako inabakia tu kama ya ushabiki wa Yanga na Simba
 
Umetumwa na mabeberu nini ,ili ulichafulie taifa letu.QUOTE="kimsboy, post: 35144152, member: 393669"]
Covid-19 imeanza kula watu kwa umati.

Leo asubuhi nilielekea pande hizo kujinunulia mahitaji si unajua mfungo huu? Na ikizingatiwa nimekimbia Corona week sasa nipo huku ila soon narudi maana ndugu zangu ndo tufanyeje sasa Dar ndo maisha na family ipo huko.

Leo nimeshuhudia kwa macho yangu mawili Soko moja Moshi, Masama jamaa mmoja ambaye ni dereva wa malori yanayobeba ndizi akizidiwa na dalili zote za Corona na kuanguka pale sokoni ndo ikabidi namba ya dharura ipigwe na likaja gari na wale jamaa na jezi zao wakaja kumbeba na kumkimbiza Mawenzi.

Hali ni mbaya Tanzania kweli nimeamini Taifa linaenda kuangamia kabisa.

Halafu kuna tetesi kwamba Mawenzi imejaa wagonjwa kiukweli hali ni mbaya.

Kwa wale mliokimbia Corona Dar mkaja Moshi nawasihi bebeni tahadhari, Corona ishawasili huku tayari mpaka migombani kule. Mungu atunuru "Ya allah tunusuru sisi waja wako"

Nitaendelea kuilaumu Serikali tu kwa asilimia 100%. Taifa linaenda kuangamia kwa sababu ya sera za mtu mmoja tu mbinafsi

Napata uchungu sana nawafikiria kina mama,na kina bibi ambao wanaishi kwa kutegemea biashara masokoni hali yao itakuaje na wanawake wajane wanaoishi kwa kuuza nyanya na vitunguu masokoni kulisha watoto wao kimahitaji itakuaje?

Taifa linakwenda kuangamia ndugu zangu nikiwaza Tanzania kwa mwendo huu naiona Italy ya pili inauma sana

Endeleeni kuficha tu serikali ya ajabu hii

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE]
 
akili za ufipa, yaani unaombea lockdown ili wengi waumie kisa corona! Inawezekana hata hii umetunga!
You are stupid. Uwezo wako wa kufikiri uko very limited. Hakuna anaeombea lockdown ili mwingine aumie bali ni kwaajili ya kunusuru raia wengi kadiri iwezekanavyo.

Serikali inatakiwa ifuafe ushauri kama waliotoa ACT Wazalendo katika njia za kupambana na Covid-19. Pia tuige wanayofanya wenzetu Kenya na Uganda katika kuthibiti ueneaji wa huyu mdudu.

Mtu ambae sio mzalendo ndio utaleta kauli zako za kijinga jinga na uchama hata katika maswala ya msingi.

I'm pissed off!
 
Tusiogope hakuna namna,tujipange kwa kinga tiba za asili na vyakula kuongeza kinga ya mwili.Sijui wizara na tume ya taifa corona mbona hamfanyi promo tiba zetu? # tutaishinda corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are stupid. Uwezo wako wa kufikiri uko very limited. Hakuna anaeombea lockdown ili mwingine aumie bali ni kwaajili ya kunusuru raia wengi kadiri iwezekanavyo.

Serikali inatakiwa ifuafe ushauri kama waliotoa ACT Wazalendo katika njia za kupambana na Covid-19. Pia tuige wanayofanya wenzetu Kenya na Uganda katika kuthibiti ueneaji wa huyu mdudu.

Mtu ambae sio mzalendo ndio utaleta kauli zako za kijinga jinga na uchama hata katika maswala ya msingi.

I'm pissed off!
Unaamini data zinazotolewa Kenya na Uganda kwamba ni kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom