logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,240
- 5,533
Endelea kula mtama, mhogo, maziwa na supu ya sato kwa wingi, viumbe wa Kike wanahitaji hudumaMwambie isee, kuna demu pale Moro huwa analia lia nimpelekee mtarimbo, mwingine yuko iringa huwa nae hivyo hivyo, akisikia fulani ni mkurya anawasimulia wenzake kuwa hao jamaa wanakamatia Show baraaa