Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
uwezo wake wa kufikiri ni mdogo. Ameingia kwenye siasa kuwafuata baba na mama yake. Haiwezekani kijana unasema watu wanafuata mkumbo cdm na unaona nchi inacolapse,kila kitu kinahitaji ukombozi mpya! Eti vijana siyo wazalendo kwa sababu hawajapita jkt huku wahujumu uchumi wote wa nchi hii ni wale waliopitia jkt.! Tafuta kazi ya kufanya ccm ina wenyewe!
Well said, l am sure he is good at something! Sio wote lazima wawe politician, na si lazima uwe politician ili uikomboe au kuleta mabadiliko kwenye nchi!