Mapondo Mapoka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 261
- 103
Halafu hawa viumbe huwa hawapotezi namba za sim hata mkorofishane vpMwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.
Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.