Uchaguzi 2020 Nimeshindwa kuwachangia makamanda, niliitupa line ya Voda

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,173
27,223
Habari za saa hizi wanaJF, poleni kwa majukumu. Kuna jambo moja ambalo kwa uhalisia wake limenifedhehesha sana. Mimi binafsi na wenzangu ni mhudhuriaji mkubwa wa mikutano ya kisiasa, hivyo nimehudhuria mikutano yote ya mgombea wetu wa CHADEMA hapa Dar es Salaam. Na nilikuwa nasikiliza vizuri sera ambazo mgombea wetu amekuwa akizinadi.

Lakini nimekuwa nikipinga sana kuchangishwa michango hadharani tena kwa utaratibu ambao haukuwa mzuri, lakini mwisho waliweza kutoa utaratibu wa mtu kuchangia kwa muda wake mwenyewe(jambo zuri). Sasa mimi pamoja na wenzangu tumeshindwa kuchangia hii michango, sababu ni kuwa tulikuwa tunatumia mtandao wa Vodacom (M-Pesa) katika kufanya miamala yetu ya kipesa kwenye simu.

Ila kama tunakumbuka vizuri kuna tatizo lilitokea na kupelekea viongozi wetu wa chama kutuambia tususie kutumia mtandao wa Vodacom na MPesa kwa ujumla na zaidi walituambia tuzitupe hizo line au kuzivunja kabisa.

Tulitii hayo maagizo na kuamua kuzivunja, hivyo tukahamia kwenye mtandao ambao ulikuwa unakuja kwa kasi sana mtandao wa Halotel na ambao pia internet yake ipo fasta sana na inapatikana katika mazingira yote hadi ya vijijini kwa sisi wasafiri.

Tumeshindwa kuchangia kwa maana pia mtandao tuliohamia wa Halotel haujawekwa kwenye list ya mitandao ambayo tunapaswa kuchangia. Naombeni chama muongeze pia mtandao wa Halotel kwenye list yenu, msitusahau sisi ambao tulizitupa line za vodacom.

Ahsante.

IMG_20200831_114519.jpg
 
Ila kuna option ya kutuma kwenda mitandao mingine ambapo wameweka yote zantel, ttcl, voda, airtel, n.k

Ww hiyo halotel yako ni ya nchi gani ?
 
Wewe ni mnafiki sana.

Hujaona option ya kulipia benk ya CRDB hapo moja kwa moja.

Tangu unatiririka hapa na mada zako, kumbe u.to.po.lo. kufikiri utahamisha watu kwenye focus.

Nenda huko kwa vijana wanaoozesha mama zao kwa jogoo.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Habari za saa hizi wanaJF, poleni kwa majukumu. Kuna jambo moja ambalo kwa uhalisia wake limenifedhehesha sana. Mimi binafsi na wenzangu ni mhudhuriaji mkubwa wa mikutano ya kisiasa, hivyo nimehudhuria mikutano yote ya mgombea wetu wa CHADEMA hapa Dar es Salaam. Na nilikuwa nasikiliza vizuri sera ambazo mgombea wetu amekuwa akizinadi...
Kutoa ni moyo wako.
 
Habari za saa hizi wanaJF, poleni kwa majukumu. Kuna jambo moja ambalo kwa uhalisia wake limenifedhehesha sana. Mimi binafsi na wenzangu ni mhudhuriaji mkubwa wa mikutano ya kisiasa, hivyo nimehudhuria mikutano yote ya mgombea wetu wa CHADEMA hapa Dar es Salaam. Na nilikuwa nasikiliza vizuri sera ambazo mgombea wetu amekuwa akizinadi...
Kwani ni lini Chadema waliwaambia wafuasi wao kwamba waendelee kutumia line za Vodacom? Maana mimi najua lile katazo bado linaendelea pia wameongeza katazo lingine la kutonunu bidhaa za Mo kisa kampigia kampeni Magufuli Smba Day.

Au viongozi wanatuwekea makatazo ilhali wao wanaendelea kutumia hizo bidhaa au ndo kukurupuka kwa viongozi wa Chadema bila logic za msingi?
 
Wewe ni mpumbav tu huna lolote ndio maana uzi wako hauna wachangiaji wengi!Wengi wanakuona poyoyo! Juzi ulikuja na uzi kuwa huwezi kuchangia kwasababu hali yako ni ngumu kifedha,leo unasema sababu huna line ya voda!!
Mataga mmefeli propaganda,mko kama mazombie ty!
 
Kwani ni lini Chadema waliwaambia wafuasi wao kwamba waendelee kutumia line za Vodacom? Maana mimi najua lile katazo bado linaendelea pia wameongeza katazo lingine la kutonunu bidhaa za Mo kisa kampigia kampeni Magufuli Smba Day. Au viongozi wanatuwekea makatazo ilhali wao wanaendelea kutumia hizo bidhaa au ndo kukurupuka kwa viongozi wa Chadema bila logic za msingi?
Hebu tuwekee hapa matamko yote rasmi ya chama kama rejea!Sio mtu akitoa maoni yake mnachukulia kama msimamo wa chama!
 
Debe tupu haliachi kupiga kelele, Kama mtu anataka kuchangia jambo atahakikisha anachangia tu sababu atoaye hutoa katika hazina yake.
 
Hata Tigo-pesa inashindikana. Nimejaribu mara kadhaa pesa inarudishwa. Ninyi viongozi wetu mtuambie la kufanya. Tunapenda sana kuchangia kampeni za CHADEMA.
 
Nimekasirishwa zaidi na kitendo cha kulazimishwa kuhudhuria ufunguzi wa kampeni wa CCM kuliko kuombwa kuchangia na CDM baada ya kuhudhuria kwa hiari
 
Ila kuna option ya kutuma kwenda mitandao mingine ambapo wameweka yote zantel, ttcl,voda, airtel, n.k

Ww hiyo halotel yako ni ya nchi gani ?
Kwenda mitandao mingine? Kumbuka hapo hutumi kwenye simu bali kwenda bank, yaani unaweza hamisha kutoka halopesa kwenda tigopesa au mpesa alafu ndio unalipa. Sasa mm nawezaje kuhamisha tigopesa au mpesa wakti sina hizo line?
 
Wewe ni mnafiki sana.
Hujaona option ya kulipia benk ya CRDB hapo moja kwa moja.

Tangu unatiririka hapa na mada zako, kumbe u.to.po.lo. kufikiri utahamisha watu kwenye focus.

Nenda huko kwa vijana wanaoozesha mama zao kwa jogoo.
Sina account bank ya CRDB, mimi natumia access bank
 
Back
Top Bottom