Nimeshindwa kuvumilia, machozi yananitoka.

Kijiji Balaa

Member
Nov 29, 2012
47
10
Kijiji Balaa nimekubwa na balaa ambalo nahisi linautesa moyo wangu.

Kuna mwanamke nilikuwa nimemtongoza kwa muda mrefu takribani mwaka sasa. Ni mwanamke mzuri sana kwa kweli. Msema kweli mpenzi wa Mungu, mwanamke huyo mpaka tunafikisha mwaka mmoja bila kudo ni kwamba mimi nina mke lakini hatujafunga ndoa na yeye alikuwa kama kidumu.

Siku zikaenda mpaka siku moja tu yule demu akakubali tukutane gesti.

Nilipofika gesti siku hiyo nilimpa penzi zuri sana lakini hamu yote iliniisha pale nilipipiga sytle ya mbuzi kagoma!!! Yaani nilikuta jamaa wamerarua tigo vibaya sana na sijawahi kula tigo hata siku moja lakini kwa jinsi hali ilivyo hata kama ni kilema wa macho ni lazima utajua tu.

Nilijitahidi kumaliza bao hilo lakini baada ya hapo hamu na huyo demu imeniisha kabisa na najua yeye atakuwa kafall in love vibaya sana.

Kibaya zaidi tunaishi mitaa ya karibu karibu.

Jamani nishaurini maana mwanamke huyo nimemshusha kabisa moyoni.

Mwisho, moyo umechoka na nimekubwa na msongo wa mawazo kwa nini nimetembea nae huyo sholi!!!

Naamini mtanifariji.
 
Last edited by a moderator:
Dah!Kijana kwanini unaweka masharti kwenye kupenda?
"
Kwani mwanamke alieliwa tigo sio mwanamke?
"
Hebu acha mambo ya ajabu kijana!
 
machozi yanaakutoka kwa sababu
1. ameliwa tigo
2. unajutia kitendo ulichofanya
3. uchungu baada ya kuzungushwa kwa mwaka 1

Kuzungushwa siyo issue maana ni hiyari yake kukubali au kukataa, issue ni hiyo ya huyo demu kuliwa tigo.

Kitendo cha kuja 100% kimenichanganya na kumchukia kabisa.
 
Kumbe ulimpendea tiGO tu,so nyumba kubwa au we furniture zako ndo chache?
 
huyo kidumu una hasira, je ungekuta mkeo ungesemaje, wanaume wengine bana, cjui huo uthubutu na ujasiri wa kuomba ushauri juu ya kidumu unaupata wapi.
 
Mkuu sijakusoma nini kinakusababisha machozi yakutoke? Pia sijaona mantiki ya kuleta hii habari hapa, unatueleza ili iweje?

Logic ni hii, sikutegemea kuona hayo niliyoyona. Kuleta huku ni kuomba ushauri jinsi gani nitavyoachana na huyo demu bila zengwe.
 
yaani na wewe ukuila 0713.... we ni mjnga sana yaani atakuwa amekudharau sana mshamba nenda round ya pili uifumue mpaka itokee mdomoni uone atakavokushukuru yani hujamla 0713...unasema umempa penzi zuri hahahahahahaahahah
 
Hivi thread kama hizi kwa nini zisipelekwe fb? Hapa zinashusha sana hadhi ya JF
Wamiliki wa JF wanashindana na hiyo Facebook na mitandao mingine ya kitanzania kupata watumiaji, ndio maana kitu kama hiki kinakatisha hapa. Lakini unavyosema ni kweli, inashusha hadhi, nimeshawahi kuipamba JF na kuwakaribisha watu makini wakaja nambia jamvi lenyewe mbona linachanganya kila kitu, ya nchi humo humo ya kulana nyuma humo humo...sikuwa na jibu

Maxene Melo (na wenzake sijui Field Marshal nae nilimsikia Star TV akisema ni founding share holder) wanataka kuwa kila kitu kwa kila mtu, na kwa vile yeye Max ndio ana set the tone basi mambo anayoyapenda yeye ndo lazima na wote tutalishwa.

Halafu jamvi hili hili la mapenzi na mahusiano ndio wana post habari za misiba, kwa hiyo huwezi hata kusema uli black list, mi kwa kweli kwa wale wanaonijua ka wapo nikifa wala msinilete kunitangaza JF kwenye jamvi la kulana tigo humu... please

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom