Heaven on Earth JF-Expert Member Mar 21, 2013 37,226 26,638 Dec 27, 2013 #2 Hahahaaa mwanao noumerrrr nimgekuwa ticha ningempa tick kubwa
Sangarara JF-Expert Member Sep 29, 2011 13,100 5,649 Dec 27, 2013 #3 fuatilia shuleni, hiyo ni dalili ya tatizo kubwa sana.
S SURUMA JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,892 1,064 Dec 27, 2013 #4 Hongera sana Mkuu kwa kuwa na mtoto GENIUS
Mwanahisa JF-Expert Member Jun 29, 2012 1,382 510 Dec 27, 2013 #5 Huyu mtoto ana kipaji maalum, think out of the box!
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Dec 27, 2013 #6 Ahahahahahaha mwanao upstairs anatisha...
ITEGAMATWI JF-Expert Member Jan 26, 2012 5,310 4,040 Dec 27, 2013 #8 Endeleeni kuwadhihaki tu wenzenu wakati soon wanautawala uchumi wa dunia. Nyie wenye Original mnakwenda kutembeza kopo kwao na Rais wenu.
Endeleeni kuwadhihaki tu wenzenu wakati soon wanautawala uchumi wa dunia. Nyie wenye Original mnakwenda kutembeza kopo kwao na Rais wenu.