Nimeshindwa kumtabiri

Magoo

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
445
72
Nina g.f kwa mwezi wa nne sasa yeye anasoma mkoani chuo fulani.. ni mpole mnoo chochote nitakachosema basi anatekeleza na kiukweli nampenda sana nilimgusia kuhusu kuoana next yr akiitimu akasema anaitaji mwaka 1 mbele basi tukakubaliana hivyo na tayari kanitambulisha kwa mama yake na mimi baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu tatizo huyu g.f wangu hanipi changamoto za kimaisha yaani naona hawezi fanya kitu bila wazo langu licha ya kumweka huru kunishauri kwa lolote lile kwani mimi kwa sasa nina kipato kizuri na elimu nzuri sitaki kuonyesha utofauti wetu kwani yy ndo kwanza anasoma diploma wakati mwingine nafikiri anaona hawezi kuongea kitu mbele yangu hali hii inanikosesha sana amani sijui nifanye nini ili aone usawa baina yetu kwani imefikia hatua nafikiria yawezekana kuna m2 pembeni ya uhusiano wetu ingawaje sijona evidence yoyote yaani simwelewi kabisaa amepooza sana licha ya kuniambia ananipenda sana.. i need yo advice plz
 
binadamu ndo tulivyo..
mvua zikinyesha tunaulizana jua litawaka lini
jua likiwaka,tunaulizana mvua zitanyesha lini....

always tunataka more and more....

changamoto gani sasa hapo,mtu mtulivu...
muoe kwanza....labda utoto tu,kwanza hakuna watu wapole tu..
wengngi wakimya tu....utamjua vizuri ukishamuoa...
 
Mkuu ahsante pia kuliza hilo swali mana mi mwenyewe huwa najiuliza sana.
Msichana akiwa mpole na anakubali kila ninachomwambia huwa inatia wasiwasi,mana kama hakupi changamoto za kimaisha nani mwingine anampa?
ila inaleta wasiwasi
 
Kaka ukimchunguza sana pweza huwezi kumla.......tatizo lako unachukua muda mwingi ''kumchambua chambua'' mpenzi wako wakati ungetumia muda mwingi kumtreat like a woman.......
NB:Hata usome vitabu vyote duniani(including encylopedia zote)......hauwezi muelewa mwanamke....''take her as she is''
 
mkionana tena mpige kibao....kabla haja kaa sawa mpige ngwala....then subiri changamoto.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Inawezekana hakupi changamoto za kimaisha wala kukushauri kutokana na wewe kutomshirikisha au kuomba ushauri,tabia za watu wapole ni kushirikishwa au kukaribishwa katika jambo fulani ndio huweza kutoa mchango wao tofauti na watu wachangamfu,kwa kuwa ni mpenzi wako basi una muda mzuri wa kumsoma na kumuelewa anataka nini au uishi nae vipi.
Usiwaze sana mambo ya nani anampa changamoto maana utajikuta unaanza kupoteza uaminifu kwake.
 
Kuwa na nidhamu na kujiheshimu hizo ni sifa mojawapo anazotakiwa kuwa nazo mwanamke ila kuwa creative, kuchallenge, ku question, kutokukubaliana sometimes etc nayo inatia ladha ktk mahusiano na ktk ndoa pia. Mwanamke ndiye atamlinda mumewe kibiblia na mwanamke ni msaidizi na mshauri pia. Kwa maana hiyo hata ktk financial and others things mwanamke anatakiwa kuwa ndiyo adviser mkuu.
Hali ya huyo gf wako kushindwa kukushauri inaweza kutokana na haya yafuatayo kwa mtizamo wangu;

1. Age difference kubwa kati yako na yeye hivyo yy kuamini kuwa wewe unafahamu zaidi yake

2. Yeye kukosa exposure na hivyo kutofahamu mambo mengi hasa unayoyafahamu wewe

3. Wewe kuzungumzia mambo amabyo kwake ni mageni kabisa au hana uzoefu nayo,

4. Au yeye kuwa tu ni mkimya naturally na hawezi kubadilika kama unavyotaka wewe.

Hivyo kama kuna ukweli ktk hizo point 3 za mwanzo basi anaweza kubadilika kadri mtavyokuwa karibu na kufahamiana kwa undani.
Ila kama ni tabia yake ya asili basi jiandae tu kutoa guidance ktk kila jambo kwenye familia hasa mambo yakifinancial.
Na sometimes hii ya mwanamke kuwa mjanja wa maendeleo huwa ni kipaji siyo wote wanavyo wala usianze kufikiria kuwa kuna mtu wa pembeni.






Nina g.f kwa mwezi wa nne sasa yeye anasoma mkoani chuo fulani.. ni mpole mnoo chochote nitakachosema basi anatekeleza na kiukweli nampenda sana nilimgusia kuhusu kuoana next yr akiitimu akasema anaitaji mwaka 1 mbele basi tukakubaliana hivyo na tayari kanitambulisha kwa mama yake na mimi baadhi ya ndugu zangu wanamfahamu tatizo huyu g.f wangu hanipi changamoto za kimaisha yaani naona hawezi fanya kitu bila wazo langu licha ya kumweka huru kunishauri kwa lolote lile kwani mimi kwa sasa nina kipato kizuri na elimu nzuri sitaki kuonyesha utofauti wetu kwani yy ndo kwanza anasoma diploma wakati mwingine nafikiri anaona hawezi kuongea kitu mbele yangu hali hii inanikosesha sana amani sijui nifanye nini ili aone usawa baina yetu kwani imefikia hatua nafikiria yawezekana kuna m2 pembeni ya uhusiano wetu ingawaje sijona evidence yoyote yaani simwelewi kabisaa amepooza sana licha ya kuniambia ananipenda sana.. i need yo advice plz
 
Kuwa na nidhamu na kujiheshimu hizo ni sifa mojawapo anazotakiwa kuwa nazo mwanamke ila kuwa creative, kuchallenge, ku question, kutokukubaliana sometimes etc nayo inatia ladha ktk mahusiano na ktk ndoa pia. Mwanamke ndiye atamlinda mumewe kibiblia na mwanamke ni msaidizi na mshauri pia. Kwa maana hiyo hata ktk financial and others things mwanamke anatakiwa kuwa ndiyo adviser mkuu.
Hali ya huyo gf wako kushindwa kukushauri inaweza kutokana na haya yafuatayo kwa mtizamo wangu;

1. Age difference kubwa kati yako na yeye hivyo yy kuamini kuwa wewe unafahamu zaidi yake

2. Yeye kukosa exposure na hivyo kutofahamu mambo mengi hasa unayoyafahamu wewe

3. Wewe kuzungumzia mambo amabyo kwake ni mageni kabisa au hana uzoefu nayo,

4. Au yeye kuwa tu ni mkimya naturally na hawezi kubadilika kama unavyotaka wewe.

Hivyo kama kuna ukweli ktk hizo point 3 za mwanzo basi anaweza kubadilika kadri mtavyokuwa karibu na kufahamiana kwa undani.
Ila kama ni tabia yake ya asili basi jiandae tu kutoa guidance ktk kila jambo kwenye familia hasa mambo yakifinancial.
Na sometimes hii ya mwanamke kuwa mjanja wa maendeleo huwa ni kipaji siyo wote wanavyo wala usianze kufikiria kuwa kuna mtu wa pembeni.
m 26yr yy 22yr so age diff sio tatizo, exposure yawezekana cz kakulia sana Babati na kuishi huko muda mwingi, na ni m2 wa dini la uzoefu pia yawezekana cz hana historia ya mahusiano thanx 4yo advice nitaendelea kumfanya afahamu nini inapaswa kufanya
 
Wanaume bwana.hv mnataka nini?mwanamke malaya,mtasema,mpole,mkimya,zoba....jaman.kwanza we mkaka shukuru mungu sn kupata mwanamke wa hvyo mana wengne wanakesha kumpata mtu wa hvyo....mtrit mapema hvyo unavyotaka il mwende sambamba
 
Inawezekana hakupi changamoto za kimaisha wala kukushauri kutokana na wewe kutomshirikisha au kuomba ushauri,tabia za watu wapole ni kushirikishwa au kukaribishwa katika jambo fulani ndio huweza kutoa mchango wao tofauti na watu wachangamfu,kwa kuwa ni mpenzi wako basi una muda mzuri wa kumsoma na kumuelewa anataka nini au uishi nae vipi.
Usiwaze sana mambo ya nani anampa changamoto maana utajikuta unaanza kupoteza uaminifu kwake.
najitahidi sana kumshirikisha na kweli anatoa wazo pale ninapomshirisha ila mwanamke pia inatakiwa awe mbunifu afikirie naweza fanya nini hasa kwa mambo madogo madogo ya ndani hilo tu hajawai hata kusema nunua kitu fulani licha ya kumpa uhuru wote wa kufanya hivyo.
 
binadamu ndo tulivyo..
mvua zikinyesha tunaulizana jua litawaka lini
jua likiwaka,tunaulizana mvua zitanyesha lini....

always tunataka more and more....

changamoto gani sasa hapo,mtu mtulivu...
muoe kwanza....labda utoto tu,kwanza hakuna watu wapole tu..
wengngi wakimya tu....utamjua vizuri ukishamuoa...
napenda unavoona mbali always
 
Bro!this z a bit serious,challenge za kimaisha esp from the one u love is ver important!...smtms ina bore mtu kukubar kila kila kitu unachosema,i think sunshine1 ameongea vitu vya muhimu so try to observe yy ana fall kwenye category ipi.hata kwenye hiyo ya nne,anaweza change coz behaviours are likely to change may be iwe instinct...al the best bro,otherwise keep on trusting her.!
 
We unataka awe feki,,hivyo ndo alivyo, angekua mapepe ungemtoa kasoro.

Mwenyew anafanya ivo ili kulinda pendo alilokuanalo kwako.
 
m 26yr yy 22yr so age diff sio tatizo, exposure yawezekana cz kakulia sana Babati na kuishi huko muda mwingi, na ni m2 wa dini la uzoefu pia yawezekana cz hana historia ya mahusiano thanx 4yo advice nitaendelea kumfanya afahamu nini inapaswa kufanya

Kwa umri wa 22 yrs huyo msichana bado yuko kwenye teenage years kwa hiyo huwezi kupata changamoto zozote kutoka kwake, sana sana yeye ndo anategemea guidance kutoka kwako na ndio maana unaona hupati challange. Kwa kawaidia msichana akifikisha miaka 25 hapo akili inaanza kuchangamka na kuanza kuangalia hali ya maisha. Ila kuna exceptions pia sia wote ila kwa kweli walio wengi. Hivyo kama huna haraka unaweza kusubiri avute umri kidogo hadi 25.
 
Bro!this z a bit serious,challenge za kimaisha esp from the one u love is ver important!...smtms ina bore mtu kukubar kila kila kitu unachosema,i think sunshine1 ameongea vitu vya muhimu so try to observe yy ana fall kwenye category ipi.hata kwenye hiyo ya nne,anaweza change coz behaviours are likely to change may be iwe instinct...al the best bro,otherwise keep on trusting her.!
thanks 4yo advice
 
Wanaume bwana.hv mnataka nini?mwanamke malaya,mtasema,mpole,mkimya,zoba....jaman.kwanza we mkaka shukuru mungu sn kupata mwanamke wa hvyo mana wengne wanakesha kumpata mtu wa hvyo....mtrit mapema hvyo unavyotaka il mwende sambamba

ok Vaislay bt unafahamu kitu kujiongeza hichi ndicho anashindwaa kabisaa nampenda sana and i ll kp on advicing her on what she is supposd 2do
 
Kaka ukimchunguza sana pweza huwezi kumla.......tatizo lako unachukua muda mwingi ''kumchambua chambua'' mpenzi wako wakati ungetumia muda mwingi kumtreat like a woman.......
NB:Hata usome vitabu vyote duniani(including encylopedia zote)......hauwezi muelewa mwanamke....''take her as she is''
Duh mkuu kuchambua muhimu kibaya ni pale uchambuzi unaposhindwa kupata jibu sahihi.. na sometime inachosha kila kitu ufikirie ww ila nimempa assignment kitu chochote cha ndani ya nyumba yy ndo atakuwa anapaswa kufikiri kipi tuchukue na si mimi
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom