Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Pombe haina faida zaidi ya hasara , vishawishi na kuharibu ratiba. Ila sasa nimejitahidi sana kuiacha nashindwa.
Marafiki zangu 90% ni watumiaji wa pombe. Sasa kila unakokwenda unawakuta au wanakukuta, nashindwa kuacha kabisa.
Naomba mbinu za kuacha tungi
Marafiki zangu 90% ni watumiaji wa pombe. Sasa kila unakokwenda unawakuta au wanakukuta, nashindwa kuacha kabisa.
Naomba mbinu za kuacha tungi