Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 22
Ndiyo, nimeshinda kwenye kura za maoni tena nimewaacha mbali sana wapinzani wangu. Sina shaka na kupitishwa na chama kwani sikupata tuhuma zozote zinazothibitika za rushwa ama nyinginezo zinazoweza kukwamisha kupitishwa na chama japo watu wa takukuru walikuwa wengi jimboni na kuna wakati walitaka kuchafua hali ya hewa.
Nilicho-note ni kuwa TAKUKURU wanahitaji kufanya kazi zao kwa kuzingatia professional ethics na sio kama wanavyofanya sasa, nitawapasha baadaye yote kwa kirefu, sasa naenda kupumzika.
Nawashukuru wote walionipa moyo wa kuendelea. Nitawaarifu yote yaliyojiri kwa kirefu kidogo baada ya kuthibitishwa na vikao vya juu vya chama.
Mbarikiwe wote
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Nilicho-note ni kuwa TAKUKURU wanahitaji kufanya kazi zao kwa kuzingatia professional ethics na sio kama wanavyofanya sasa, nitawapasha baadaye yote kwa kirefu, sasa naenda kupumzika.
Nawashukuru wote walionipa moyo wa kuendelea. Nitawaarifu yote yaliyojiri kwa kirefu kidogo baada ya kuthibitishwa na vikao vya juu vya chama.
Mbarikiwe wote
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI