Black Bolt
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 257
- 415
For the first time nimeelewa SEO inatumikaje...let put it in my data base.Jinsi unavyoandika mada zako utapata shida Sana kupata watembeleaji hasa kutoka Google, hivyo website inaweza isipate watembeleaji mpaka kushea kwenye magroup,
Unatakiwa kuandika Kwa kufanya keyword research ya topiki unayoilenga.
Kwa mfano mada ya maisha buffalo uliyoiandika, Mimi title ningeiandika ni
what eats buffalo in the serengeti?
Hii ni keyword ambayo watu wanaandika kwenye Google Search na ushindani wake sio makubwa.
Hivyo kuna chansi ya page yako kutokea kwenye page ya Kwanza ya Google kama uta-optimize page yako vizuri,
Kitu cha kufanya Kwa sasa ni kuongeza contents zifike zaidi ya 100 Kwa miezi mitatu, ukiweza kupata angalau watembeleaji 10,000 Kwa mwezi ndio uanze kufikilia mambo ya monetisation