Mdharuba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 824
- 517
Ndo muachage kutoa game before ndoa kama mchumba wa Mc pilipiliyan apo ingekuwa mwanaume ndo kazaa nje inaonekana kawaida kweli
Hujaelewa nini hapo Ndugu?!
Inshort Uyo maza hataki Uyo mshkaji wako aanze match na moja_bila
mbona tunabalehe kbl ya ndoa? eb ukoo
Waende kwa waliozaa nao! sawa?Kuna watu wamechukua contract ya kuzalisha na kuacha,its high time wa take responsibility!Daaahhh single mathers hawatendewi haki kabisa
huu ubaguzi sijui utaisha lini.
Maendeleo hayana chama
Usinifanyie ivyo