Wasalamu Wakuu
Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.
Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.
Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.
Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.
Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?
Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.
Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.
Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6
Wadau Tuangalie sana hili
Wasalamu Wakuu
Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.
Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.
Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.
Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.
Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?
Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.
Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.
Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6
Wadau Tuangalie sana hili
Kwanini ulitegemea hivyo.Kuna Binti yetu hapa nyumbani, nilitegemea angezungusha lakini kapiga 4 yake safi kabisa yani
Hii chai... Ufaulu huo wa kidato cha ngapi!??!?Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6
Akili yake mkuu.Kwanini ulitegemea hivyo.
Nataka kucheka lakini naogopa....😌😌Ninachowapendea Necta huwa wanaenda na upepo unavyoenda, kuna nyakati Tanzania One alitoka Chattle, kwahyo lazzma uangalie upepo unaelekea wapi? Nani anapenda kibarua chake kiote nyasi?
MKURABITA, MKUKUTA...Yaani hawa jamaa wanatuona sisi wajinga sana yaani...😁😁😁Nani anakumbuka kipindi cha " BIG RESULTS NOW" 😁😁😁
Markers wenyewe wanaenda kwa kujuana, unafikiri kuna kitu hapo ni kuangalia na siasa zao tuHawa Necta sijawahi kuwaelewa tangu wanibandikie div 2 O' level na kunibandikia masomo yote C.
Nilikuwa na uhakika masomo kama chemistry, Biology,History na Geography ningepata A kama ni kufeli sana isongeshuka B ila nikabandikiwa C.
Hadi leo naamini huwa wana sahihisha kwa umakini shule walizokariri kuwa wanafanya vizuri.
Ndio maana utasikia St Francis, Kemebos kila mwaka
Nmemkumbuka zile stk zimeandikwa MKURABITAMKURABITA, MKUKUTA...Yaani hawa jamaa wanatuona sisi wajinga sana yaani...
Andika kwa herufi kubwa mkuuHawa wasenge wanaharibu elimu yetu
Wakati wa mwendazake sijui kama uliweza kuhoji namna hii. Sijui kama uliwahi kushangazwa na NECTA hii hii iliyokuwepo enzi za mwendazake na matokeo waliyokuwa wakitoaWasalamu Wakuu
Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.
Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.
Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.
Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.
Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?
Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.
Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.
Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6
Wadau Tuangalie sana hili
Mkuu umeongea jambo zuri sana. Tatizo ni mitihani ya kubet inayowapeleka wanafunzi shule za sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika. Tazama video ifuatayo kwa ushahidi zaidi; sipendi kuongea maneno matupu. Tazama video 👇Wasalamu Wakuu
Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.
Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.
Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.
Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.
Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?
Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.
Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.
Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6
Wadau Tuangalie sana hili