Nimeshangazwa na Matokeo ya Kidato cha Nne 2021

Acha wivu bwashee
Wasalamu Wakuu

Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.

Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.

Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.

Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.

Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?

Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.

Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.

Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6

Wadau Tuangalie sana hili
 
Ambacho mnasahau ni kwamba form four kufikia 2025 itatambulika kama elimu ya msingi na sio sekondari tena,

kingine nikwamba kuna kitu kinaitwa C.A, kwenye matokeo ya mwaka huu kimepewa kipaombele sana haswa kupunguza dv zero kwenye shule za kata!!

So kwa namna moja au nyingine. Standardazation imefanyika
 
Division 1 zimekuwa nyingi, hasa ukizingatia kuwa siku hizi 75% ni A. Lakini pia penalt za somo la Hisabati hakuna tena.

Yumkini, ndio maana hata somo la Hisabati limefanya vibaya mno maana hakuna penalt tena.

SUKAH
 
Hawa Necta sijawahi kuwaelewa tangu wanibandikie div 2 O' level na kunibandikia masomo yote C.

Nilikuwa na uhakika masomo kama chemistry, Biology,History na Geography ningepata A kama ni kufeli sana isongeshuka B ila nikabandikiwa C.

Hadi leo naamini huwa wana sahihisha kwa umakini shule walizokariri kuwa wanafanya vizuri.
Ndio maana utasikia St Francis, Kemebos kila mwaka
Wasalamu Wakuu

Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.

Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.

Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.

Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.

Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?

Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.

Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.

Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6

Wadau Tuangalie sana hili
 
Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6
Hii chai... Ufaulu huo wa kidato cha ngapi!??!?
 
Hawa Necta sijawahi kuwaelewa tangu wanibandikie div 2 O' level na kunibandikia masomo yote C.

Nilikuwa na uhakika masomo kama chemistry, Biology,History na Geography ningepata A kama ni kufeli sana isongeshuka B ila nikabandikiwa C.

Hadi leo naamini huwa wana sahihisha kwa umakini shule walizokariri kuwa wanafanya vizuri.
Ndio maana utasikia St Francis, Kemebos kila mwaka
Markers wenyewe wanaenda kwa kujuana, unafikiri kuna kitu hapo ni kuangalia na siasa zao tu
 
Wasalamu Wakuu

Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.

Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.

Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.

Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.

Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?

Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.

Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.

Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6

Wadau Tuangalie sana hili
Wakati wa mwendazake sijui kama uliweza kuhoji namna hii. Sijui kama uliwahi kushangazwa na NECTA hii hii iliyokuwepo enzi za mwendazake na matokeo waliyokuwa wakitoa
 
Wasalamu Wakuu

Leo Baraza la Mitihani Tanzania Bara, Limetangaza matokeo ya Kidato cha Nne Na Kuonesha Ufaulu ukiongezela kwa Asilimia Chini ya 2%. Well And Good.

Lakini Baada ya Kufuatilia Matokeo Ya Shule Nyingi Nimeona Division 1 zikiwa Nyingi sana na Division 4 zikipungua Sanaa. Hii ikanipa Maswali na Kujiuliza Kuhusu Ubora wa Mitihani Wanayotungiwa Vijana wetu na Ubora wa Elimu. Nakubaliana na wanaosema kuwa Ubora wa Elimu haupimwi kwa Ufaulu lakini mwaka 2021 nimeona ndio Mwaka ambao Division 1 zimekuwa Nyingi sanaa kuliko miaka Yote na Wasichana Wamefaulu sanaa kuliko Miaka Yote.

Hii imenipa Maswali na Kuhisi Kuwa Huenda Siasa Imeingia Kwenye Elimu yetu, Yaani Katika Kuunga Juhudi za Rais Mwanamke na Ufaulu umeenda Sana kwa Wanawake kuonesha Juhudi ambazo Serikalo inafanya kuwainua wanawake. Hii nimewaza kwa sauti.

Naweza kuwa sina Points nzuri za Ku Address hili lakini Kiukweli kuja Harufu ambayo sio Nzuri kwenye Elimu yetu.

Najiuliza hizi Division 1 je ni sawa na zile za miaka ya 2012 kuja Chini? Zile za miaka ya 2000-2011? Ni sawa na hizi? Je, waalimu mtusaidie Mitihani ni sawa? Au mitaala kwa Ujumla Imebadilika?

Hii inanifanya kuwaza Mbali, Huenda hawa Vijana Wetu wakaja kukumbana na Kitu Kizito katika Matokeo yao ya kidato cha sita ambacho wengi Wanatarajia Kufaulu vizuri kwenda Chuo na Kupata Mkopo wa Serikali, kwasababu Hapo serikali Itahitajika kutenga Budget Kubwa Huenda Hawa Vijana wetu walio Pitishwa Kiholela Wakashindwa Kwa Wingi kwenda Chuo kwa Kigezo cha Serikali kuogopa Kutoa Mikopo ya Elimu Ya Elimu Ya Juu kwa Wanafunzi Hawa, na Kuongeza Late ya Unemployment mtaani na Kitakacho tokea ni Hawa Kuamua Kwenda Diploma kuendelea kupoteza muda wa Kuajiriwa na Kuongeza ugumu wa Maisha.

Tuwajibu kama wadau wa Elimu Nchini Kuangalia Hili kwa Undani sanaaa? Nakumbuka Kipindi Chetu Mama Ndalichako Alifahamika na Wanafunzi wote kwasababu Ya Mitihani Yake, Lakini Mrithi wake wa sahizi sijui hata kama anafahamika kama Mama Ndalichako, katika Kusimamia Ubora Wa Mitihani.

Mfano Mkubwa Ni Mdogo wangu Ambaye Amefaulu kwa Division 1 ya 7 huku nikijua Fika Kichwa chake ni Kigumu, na Hajawahi Kuwa Kwenye 20 bora Darasani Kwao. Inanipa Wasiwasi Kwa Form 6

Wadau Tuangalie sana hili
Mkuu umeongea jambo zuri sana. Tatizo ni mitihani ya kubet inayowapeleka wanafunzi shule za sekondari wakiwa hawajui kusoma wala kuandika. Tazama video ifuatayo kwa ushahidi zaidi; sipendi kuongea maneno matupu. Tazama video 👇



Na huko sekondari mitihani ya NECTA imerahishishwa kwa makusudi ili kuwafaulisha wanafunzi kisiasa. Tazama mtihani wa Biology wa NECTA 1999 ulinganishe na mtihani wa NECTA 2017 utapata jibu mwenyewe. Zamani kupata divisheni wani halikuwa jambo la mchezo. Maswali rahisi kama haya (2017) hata mkulima ambaye hakwenda shule atapata divisheni wani misa ya kwanza tu!

NECTA 1997
1642366596678.png

NECTA 2017
1642366682699.png
 
Back
Top Bottom