Sukari inaagizwa Tu pale kunapokuwa na upungufu ,Kama mpango ni kuua Viwanda vya ndani vya sukari Sawa labda wangesema kukiwa na upungufu wanunue Uganda ,

Muda sio mrefu wenye Viwanda vya ndani watalalamika
kungekuwa hakuna uhaba tungenunu kilo buku
 
Haina maana kununua sukari bei juu kwa maelezo kwamba tunalinda wazalishaji wa ndani,hii ndio nonsense yenyewe.

Kulinda uzembe na ukiritimba ni upuuzi.
Soma vizuri mada na uielewe.
Aidha ukitaka kufungua mada ya ughali na uzembe katika uzalishaji mali Tanzania, hilo ni swala lingine.
 
Mimi nasubiri tu Mama akiri dhambi hizi....am

Risasi kwa TL
MDUDE
MAWAZO
Saa 8
KUNUNUA akina WaItaRa....
Aquiline AQUELINA
AZORY
Etc...

Zipo nyingi. Akiri tu na Roho yangu itulie.TUANZE UPYA.
asipokiri nasikia dhambi ina tabia ya kutambaa kama yalivyo majani ya maboga.
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Siyo rahisi mawaziri wa ki-Tz kujiuzulu hata angetukanwa tusi la wazi kabisa. Ujasiri huo hamnaga bongo ugali amwachie nani!
 
Profesa Mkenda Yuko sahihi 100%! Sukari iagizwe pale panapokuwa na nakisi Kati ya demand na local capacity of production, sio kuagiza tu kama mazoea kwani Hilo linauwa wazalishaji wa ndani!

SSH anong'onezwe, hapo kabugi!
ni kweli kabisa it seems there is lack of communication among them. inawezekana hata hawakuelewana wao au sisi hatujawaelewa!!!
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Bogass tu. Ukiona mtu anawabwaga ma Phd wazalendo anaweka wajuzi wa kupiga hela ya umma lazima ustaajabu. Sasa kama hakujawepo haja ya kuagiza sukari nje waziri aruhusu tu? Na mama kwa kua Museveni kaja basi ni nonsense waziri hajaruhusu kuagizwa sukari uganda. Naona hakika mama anaanza kujidhihirisha uwezo wake mdogo kuliongoza taifa letu. Au labda anatafuta kumtimua Phd aweke watu wake wajuzi wa kupiga hela ya umma.
 
Museveni hana.viwanda vya kuzalisha sukari nyingi, Uganda wanaagiza sukari kutoka Brazil na hivyo wanakua na excess ya sukari kutoka Brazil na ndio hiyo wanataka kutuuzia.
Sasa kwa nini sisi wenyewe tusiagize kutoka Brazil, hangaya anafeli sana
Halafu jiulize hiyo sukari inapitia bandari ipi ndiyo utapata jibu la akili za watawala wetu
 
Bro ni vizuri pia ujue kuwa Uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba Tanzania, hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite Kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za Tanzania badala ya za Kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani
Asilimia kidogo tu ya mizigo ya Uganda inapitia bandari ya Dar. Asilimia kubwa inapitia Mombasa
 
Binafsi nimesikitika sana na kauli iliyotolewa. Inawezekana haikuwa nia yake ila alijisahau. Kati ya Mawaziri mahiri na wazalendo ni Mhe. Professa Adolf Mkenda. Nashauri atamke kuwa alipitiwa.
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
A mistake that makes us Humble, is Better than an achievement that makes us Arrogant.
 
Binafsi nimesikitika sana na kauli iliyotolewa. Inawezekana haikuwa nia yake ila alijisahau. Kati ya Mawaziri mahiri na wazalendo ni Mhe. Professa Adolf Mkenda. Nashauri atamke kuwa alipitiwa.
Ulisikia wapi wanasiasa wa Bongo wakikosea wanaomba radhi? Ulisikia wapi?
 
Kuna mambo mengine yanahitaji decision promptly.

Lakini sielewi hapa mnataka sukari iagizwe?!? isiagizwe?
Iagizwe haraka sana, sukari hakuna na viwanda vyetu havitoshelezi, sukari kwanza mengine baadaye, hatuwezi kusubiri solution za rushwa zenu za vibali na viwanda vibovu kunywa chai na maandazi yetu
 
Unaongea ujinga, kupitisha bomba la mafuta tanzania ilikua na afaida kwao kuliko kupitia kenya, kwa hiyo usiongee pumba, unafikir wametufavor no way out. Kama kuna haya ya kuongeza mahusiano na uganda sio kitu kibaya iaipokua approach inayotumika kukashfu mawazir wake ni tajia za kike
Bro ni vizuri pia ujue kuwa Uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba Tanzania, hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite Kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za Tanzania badala ya za Kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani
 
Back
Top Bottom