Mkuu!

Magufuli hakuzuia sukari toka nje kwa sababu ya roho mbaya hapana.

Alisema kabisa tuna mashambe mengi tuzalishe sukari yetu hapa hapa nchini na kufaidisha viwanda vyetu vya ndani.

Yule mzee aliambulia matusi toka wapumbavu badala ya kutumia fursa hiyo kuongeza uzalishaji ili kuinua vipato na kuongeza ajira.!

Kila siku huwa nasema hapa kwamba kumpigania mpumbavu malipo yake ni upumbavu!

Ona sasa tunaenda kuwa dampo la sukari toka uganda!

Nmeona uzi hapa jana mtu anashauri Samia aruhusu cement toka Kenya, na usishangae na yeye akafanya hivyo.
Ukifanya trade protectionism uwe umejipanga, kwanza kuna mikataba ya east african community, lakini kumbuna kuna social welfare, kwamba bei ita wasaidia wana nnchi, na wewe kama kiongozi kuna political mileage kwenye hilo.
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Mama ameanza kupandisha mabega, kwa lugha yake mwenyewe. Hapo ni miezi tu, baada ya miaka sijui itakuwaje.
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Binafsi naona ni sawa ,unazuia sukari ,cement,nondo, mabati, WAKATI viwanda vya ndani vipo na havina huwezo ,hata quality ya product zao ni za chini , bali ujanja janja mwingi ,

Bidhaa zije ,Ili ata wazalishaji wetu wapate ushindani wa kudhalisha bidhaa bora
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Biashara ni watu hela zao ndizo zitafanya usitawi ama vinginevyo,pia utashi wa kisiasa ndiyo unaweza kukuza ama kuua biashara
 
Sukari inaagizwa Tu pale kunapokuwa na upungufu ,Kama mpango ni kuua Viwanda vya ndani vya sukari Sawa labda wangesema kukiwa na upungufu wanunue Uganda ,

Muda sio mrefu wenye Viwanda vya ndani watalalamika
Waache walalamike tu , wanashindwa kuzalisha sukari ya kutosha, sukari ya ndani inapanda bei ovyo
 
Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.

Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.

Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.

Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.

Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.

Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.

Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?

All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
1.Nchi hii haijitoshelezi kwa sukari... huu ni ukweli ulio wazi
2. Upunguvu wa sukari utajaziwa na import toka nje.... hili halina ubishi
3. How diligent is the system used to establish annual sugar shortage
4. Waziri alipotoka kidogo aliposema hatatoa vibali, badala ya kusema tunaangalia upunguvu na tutatoa vibali kwa kulingana na mahitaji
5. Ukisema hutoi vibali ina maana unakataa kuwa hakuna upunguvu
 
Wengi mnapenda kuandika bila kuelewa, sera na Sheria zipo wazi. Kulinda viwanda vya ndani sukari inapaswa kuagizwa endapo kuna upungufu na waagizaji wanapaswa kuwa viwanda na sio wafanyabiashara.
Waziri ndio kasimamia hapo, raisi yeye anataka iagizwe vyovyote vile.
Sijaona kosa la waziri
Kumbuka EA pia wana makubaliano yao ya kibiashara kama nchi za Africa ya mashariki kunaweza kuwa na sera zikapingana na jumuia. Kikubwa hapa nafuu kwa mlaji kama sera zao zinaumiza watu hazina faida. Waziri kama kweli ana msimamo basi mwanamme kweli leo angekuwa ame resign lakini kwa kuwa hatuna mishipa ya aibu wala misimamo atabadili gear angani tu kama waziri wa afya. nitampa heshima yake akisema na resign nitajuwa alikuwa anasimamia haki ila aki switch ni wale wale tu
 
Kuna mambo mengine yanahitaji decision promptly.

lakini sielewi hapa mnataka sukari iagizwe?!? isiagizwe?
Profesa Mkenda Yuko sahihi 100%! Sukari iagizwe pale panapokuwa na nakisi Kati ya demand na local capacity of production, sio kuagiza tu kama mazoea kwani Hilo linauwa wazalishaji wa ndani!

SSH anong'onezwe, hapo kabugi!
 
Hivi bado kuna uhaba wa sukari mpaka leo? sijasikia zile kelele muda mrefu.

Rais wetu naona kama amekubali kutumiwa na Museveni nae akatumika, kama Museveni ana sukari nyingi kwake haina soko ameona aje kulitafuta huku na sisi badala ya kujiuliza kama tunaihitaji naona tumekimbilia kukubali ombi tu ili kukuza urafiki na majirani.

Suala la kuita msimamo wa waziri wake Nonsense tena public nalo nalipinga, kama alikerwa na huo msimamo ana kila nafasi na kuonana na waziri wake na kumweleza aliyonayo, sio kumsubiri Museveni aje ndio anamnange mbele za watu, hizi ni tabia typical za kike - umbea.
Achana na gender stereotype ktk leadership. Ungejadili kauli ya Rais na ya Waziri kama ulivyoanza; lakini maneno yako matano ya mwisho hayana heshima kwa mamlaka ya juu ya nchi. Na siyo nidhamu ambayo baadhi tumelelewa nayo.
 
Back
Top Bottom