Nimeshangazwa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kutotaka Bodi ya kitaalam ya Walimu

DREAMBOY

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
2,050
1,220
Habari!

CWT = Chama cha Walimu Tanzania, Press yao imenishangaza sana eti hawaungi kuwepo kwa bodi ya kitaaluma ya Walimu (Teachers' professional board). Tena kwa madai kuwa walimu watabebeshwa mzigo mkubwa wa makato ya tsh.50000/= kwa mwaka yakihusisha lesseni ya ufundishaji, semina kwa walimu nk.

Wakidai kuwa walimu hawaitaki hiyo bodi sijui CWT wamefanya utafiti lini na halmashauri ngapi?

Hawa hawajui kama hii iitatuondolea walimu wasio na uwezo waliojazana mashuleni. Kwa kuwa update na mizigo kusitishiwa lesseni ili ualimu usiwe kazi ya walio feli mitihani.

Hivi CWTHilo ndo tatizo la walimu pekee nchi hii: Mbona malalamiko ya walimu ni mengi;
Wapo wanaolilia kupanda madaraja
Wapo wanaolilia kikokotoo hiki kipya
Wapo wanaolilia makato ya CWT na kuambulia t-shirt kila mwaka yasiyo na mantiki.
Wapo wanaolilia makato ya bodi ya mikopo nje ya mikataba yao.

AJABU:
Mama Salma Kikwete anachangia bungeni eti walimu hawaitaki hiyo bodi.
Pia Mh. Ndaisaba Mbunge wa ngara nae katumwa na walimu eti hawaitaki hiyo bodi mpya.
Tuwaulize hao walimu kwani wanaitaka hiyo CWT yenyewe? Inayonuka kila aina ya ufisadi.la tiket za Lesotho na misri. Benki nk ni shida tu.

Naunga mkono hiyo bodi iwapo kama fani nyinginezo.

CWT Msiogope hakuna kisicho na mwisho.
 
Walimu wa TZ taabusana.si mijini Wala vijijini wanadhalaulika.Tafakarini chukueni hatua.
 
Habari!

CWT = Chama cha Walimu Tanzania, Press yao imenishangaza sana eti hawaungi kuwepo kwa bodi ya kitaaluma ya Walimu (Teachers' professional board). Tena kwa madai kuwa walimu watabebeshwa mzigo mkubwa wa makato ya tsh.50000/= kwa mwaka yakihusisha lesseni ya ufundishaji, semina kwa walimu nk.

Wakidai kuwa walimu hawaitaki hiyo bodi sijui CWT wamefanya utafiti lini na halmashauri ngapi?

Hawa hawajui kama hii iitatuondolea walimu wasio na uwezo waliojazana mashuleni. Kwa kuwa update na mizigo kusitishiwa lesseni ili ualimu usiwe kazi ya walio feli mitihani.

Hivi CWTHilo ndo tatizo la walimu pekee nchi hii: Mbona malalamiko ya walimu ni mengi;
Wapo wanaolilia kupanda madaraja
Wapo wanaolilia kikokotoo hiki kipya
Wapo wanaolilia makato ya CWT na kuambulia t-shirt kila mwaka yasiyo na mantiki.
Wapo wanaolilia makato ya bodi ya mikopo nje ya mikataba yao.

AJABU:
Mama Salma Kikwete anachangia bungeni eti walimu hawaitaki hiyo bodi.
Pia Mh. Ndaisaba Mbunge wa ngara nae katumwa na walimu eti hawaitaki hiyo bodi mpya.
Tuwaulize hao walimu kwani wanaitaka hiyo CWT yenyewe? Inayonuka kila aina ya ufisadi.la tiket za Lesotho na misri. Benki nk ni shida tu.

Naunga mkono hiyo bodi iwapo kama fani nyinginezo.

CWT Msiogope hakuna kisicho na mwisho.
Ni upuuzi na kutaka kuongeza wingi wa taasisi za kupunguza pato dogo la mwalimu.
 
Habari!

CWT = Chama cha Walimu Tanzania, Press yao imenishangaza sana eti hawaungi kuwepo kwa bodi ya kitaaluma ya Walimu (Teachers' professional board). Tena kwa madai kuwa walimu watabebeshwa mzigo mkubwa wa makato ya tsh.50000/= kwa mwaka yakihusisha lesseni ya ufundishaji, semina kwa walimu nk.

Wakidai kuwa walimu hawaitaki hiyo bodi sijui CWT wamefanya utafiti lini na halmashauri ngapi?

Hawa hawajui kama hii iitatuondolea walimu wasio na uwezo waliojazana mashuleni. Kwa kuwa update na mizigo kusitishiwa lesseni ili ualimu usiwe kazi ya walio feli mitihani.

Hivi CWTHilo ndo tatizo la walimu pekee nchi hii: Mbona malalamiko ya walimu ni mengi;
Wapo wanaolilia kupanda madaraja
Wapo wanaolilia kikokotoo hiki kipya
Wapo wanaolilia makato ya CWT na kuambulia t-shirt kila mwaka yasiyo na mantiki.
Wapo wanaolilia makato ya bodi ya mikopo nje ya mikataba yao.

AJABU:
Mama Salma Kikwete anachangia bungeni eti walimu hawaitaki hiyo bodi.
Pia Mh. Ndaisaba Mbunge wa ngara nae katumwa na walimu eti hawaitaki hiyo bodi mpya.
Tuwaulize hao walimu kwani wanaitaka hiyo CWT yenyewe? Inayonuka kila aina ya ufisadi.la tiket za Lesotho na misri. Benki nk ni shida tu.

Naunga mkono hiyo bodi iwapo kama fani nyinginezo.

CWT Msiogope hakuna kisicho na mwisho.


Kama ni ugonjwa wa CANCER chama cha waalimu ni Cancer ya moyo

Chama kina vitega uchumi na ada ya kila mwezi zaidi ya bilioni 5 za kitanzania lakini hawana msaada kwa wanachama wake!!!!!

Ila siku zao zinahesabika
 
Habari!

CWT = Chama cha Walimu Tanzania, Press yao imenishangaza sana eti hawaungi kuwepo kwa bodi ya kitaaluma ya Walimu (Teachers' professional board). Tena kwa madai kuwa walimu watabebeshwa mzigo mkubwa wa makato ya tsh.50000/= kwa mwaka yakihusisha lesseni ya ufundishaji, semina kwa walimu nk.

Wakidai kuwa walimu hawaitaki hiyo bodi sijui CWT wamefanya utafiti lini na halmashauri ngapi?

Hawa hawajui kama hii iitatuondolea walimu wasio na uwezo waliojazana mashuleni. Kwa kuwa update na mizigo kusitishiwa lesseni ili ualimu usiwe kazi ya walio feli mitihani.

Hivi CWTHilo ndo tatizo la walimu pekee nchi hii: Mbona malalamiko ya walimu ni mengi;
Wapo wanaolilia kupanda madaraja
Wapo wanaolilia kikokotoo hiki kipya
Wapo wanaolilia makato ya CWT na kuambulia t-shirt kila mwaka yasiyo na mantiki.
Wapo wanaolilia makato ya bodi ya mikopo nje ya mikataba yao.

AJABU:
Mama Salma Kikwete anachangia bungeni eti walimu hawaitaki hiyo bodi.
Pia Mh. Ndaisaba Mbunge wa ngara nae katumwa na walimu eti hawaitaki hiyo bodi mpya.
Tuwaulize hao walimu kwani wanaitaka hiyo CWT yenyewe? Inayonuka kila aina ya ufisadi.la tiket za Lesotho na misri. Benki nk ni shida tu.

Naunga mkono hiyo bodi iwapo kama fani nyinginezo.

CWT Msiogope hakuna kisicho na mwisho.
CWT wanapigania ugali wao.
 
Prof. Asad hakukosea kabisa, Kama yupo Mwalimu anaipinga hiyo bodi kwa kisingizio cha tozo ya 50K achuguzwe kichwani utamkuta darasana anachojua ni kuchapa watoto ila content hamna
 
Prof. Asad hakukosea kabisa, Kama yupo Mwalimu anaipinga hiyo bodi kwa kisingizio cha tozo ya 50K achuguzwe kichwani utamkuta darasana anachojua ni kuchapa watoto ila content hamna
Ili ubora na uwezo wa mwalimu ujulikane lazima aundiwe chombo cha kupunguza pato lake dogo? Walimu wanavyombo vingi vinavyowamulika. Ukaguzi, cwt, tsc nk hiyo bodi ina lipi jipya zaidi ya kutafuta kumnyonya mwalimu fedha zake ???
 
Back
Top Bottom