Habari!
CWT = Chama cha Walimu Tanzania, Press yao imenishangaza sana eti hawaungi kuwepo kwa bodi ya kitaaluma ya Walimu (Teachers' professional board). Tena kwa madai kuwa walimu watabebeshwa mzigo mkubwa wa makato ya tsh.50000/= kwa mwaka yakihusisha lesseni ya ufundishaji, semina kwa walimu nk.
Wakidai kuwa walimu hawaitaki hiyo bodi sijui CWT wamefanya utafiti lini na halmashauri ngapi?
Hawa hawajui kama hii iitatuondolea walimu wasio na uwezo waliojazana mashuleni. Kwa kuwa update na mizigo kusitishiwa lesseni ili ualimu usiwe kazi ya walio feli mitihani.
Hivi CWTHilo ndo tatizo la walimu pekee nchi hii: Mbona malalamiko ya walimu ni mengi;
Wapo wanaolilia kupanda madaraja
Wapo wanaolilia kikokotoo hiki kipya
Wapo wanaolilia makato ya CWT na kuambulia t-shirt kila mwaka yasiyo na mantiki.
Wapo wanaolilia makato ya bodi ya mikopo nje ya mikataba yao.
AJABU:
Mama Salma Kikwete anachangia bungeni eti walimu hawaitaki hiyo bodi.
Pia Mh. Ndaisaba Mbunge wa ngara nae katumwa na walimu eti hawaitaki hiyo bodi mpya.
Tuwaulize hao walimu kwani wanaitaka hiyo CWT yenyewe? Inayonuka kila aina ya ufisadi.la tiket za Lesotho na misri. Benki nk ni shida tu.
Naunga mkono hiyo bodi iwapo kama fani nyinginezo.
CWT Msiogope hakuna kisicho na mwisho.
CWT = Chama cha Walimu Tanzania, Press yao imenishangaza sana eti hawaungi kuwepo kwa bodi ya kitaaluma ya Walimu (Teachers' professional board). Tena kwa madai kuwa walimu watabebeshwa mzigo mkubwa wa makato ya tsh.50000/= kwa mwaka yakihusisha lesseni ya ufundishaji, semina kwa walimu nk.
Wakidai kuwa walimu hawaitaki hiyo bodi sijui CWT wamefanya utafiti lini na halmashauri ngapi?
Hawa hawajui kama hii iitatuondolea walimu wasio na uwezo waliojazana mashuleni. Kwa kuwa update na mizigo kusitishiwa lesseni ili ualimu usiwe kazi ya walio feli mitihani.
Hivi CWTHilo ndo tatizo la walimu pekee nchi hii: Mbona malalamiko ya walimu ni mengi;
Wapo wanaolilia kupanda madaraja
Wapo wanaolilia kikokotoo hiki kipya
Wapo wanaolilia makato ya CWT na kuambulia t-shirt kila mwaka yasiyo na mantiki.
Wapo wanaolilia makato ya bodi ya mikopo nje ya mikataba yao.
AJABU:
Mama Salma Kikwete anachangia bungeni eti walimu hawaitaki hiyo bodi.
Pia Mh. Ndaisaba Mbunge wa ngara nae katumwa na walimu eti hawaitaki hiyo bodi mpya.
Tuwaulize hao walimu kwani wanaitaka hiyo CWT yenyewe? Inayonuka kila aina ya ufisadi.la tiket za Lesotho na misri. Benki nk ni shida tu.
Naunga mkono hiyo bodi iwapo kama fani nyinginezo.
CWT Msiogope hakuna kisicho na mwisho.