Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
Duh kweli vijana tunavyofanya vitu tunatakiwa kuwa makini mm nina umri 21 nafanya kazi kwenye ofice private ..ktk shughuli za kikazi kuna mdada mkampenda naye akanipenda tukaanzisha uhusiano ambao umedumu kwa miezi 4 mpaka sasa cha ajabu mara ya mwisho kukutana kimwili tarehe 3.09.2012 jana ananipigia cm ananiambia ana ujazito wangu jambo ambalo limenichanganya xana mpaka nkaomba ruhusa niende home naumwa je ni kweli inawekezana au anataka kuniuzia mbuz kwenye gunia naombeni msaada nfanyaje .!kama makosa nimeshafanya sitak kulaumiwa thanks a lot wanajf.