Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Ndugu wana JF salaam toka Brussels
Nimekuwa naangalia news usiku huu na nimeona matukio 3
1.Waziri Mkuu akiwa Serengeti leo , kwenye hadhara wameonyesha watu wakimsikiliza nimeona kuna mdada alikuwa ana cheza cheza wakati wa hotuba ya Pinda na open space kati kati nikawa najiuliza kama kulikuwa na muziki ukiendelea wakati hotuba ya Pinda inarindima .
2.Nimeona Mgombea wa Chadema Igunga na habari ya Utajiri wa kijiji alichokuwa anahutubia leo .
3.Nimeona Mukama akiongea , na Komba , na Mgombea wa CCM .Nimeshangaa sana sana kuona picha ya umati ulio kuwa kwa Pinda ndiyo wale wale ambao waneonyeshwa Igunga .Kwa kweli nimeshangaa mno na kama kuna yeyote kaona habari za usiku huu tafadhali anasaidie kuelewa .Je ITV wanataka kutueleza nini ? Wana chakachukua mkutano au hawakuwa na picha za matukio ya CCM za leo au Pinda kaonyeshwa kimakosa hakuwa na watu ? Nisaidieni kuelewa am confused .
Nimekuwa naangalia news usiku huu na nimeona matukio 3
1.Waziri Mkuu akiwa Serengeti leo , kwenye hadhara wameonyesha watu wakimsikiliza nimeona kuna mdada alikuwa ana cheza cheza wakati wa hotuba ya Pinda na open space kati kati nikawa najiuliza kama kulikuwa na muziki ukiendelea wakati hotuba ya Pinda inarindima .
2.Nimeona Mgombea wa Chadema Igunga na habari ya Utajiri wa kijiji alichokuwa anahutubia leo .
3.Nimeona Mukama akiongea , na Komba , na Mgombea wa CCM .Nimeshangaa sana sana kuona picha ya umati ulio kuwa kwa Pinda ndiyo wale wale ambao waneonyeshwa Igunga .Kwa kweli nimeshangaa mno na kama kuna yeyote kaona habari za usiku huu tafadhali anasaidie kuelewa .Je ITV wanataka kutueleza nini ? Wana chakachukua mkutano au hawakuwa na picha za matukio ya CCM za leo au Pinda kaonyeshwa kimakosa hakuwa na watu ? Nisaidieni kuelewa am confused .