white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
Labda walikua wanaigiza mkuu!
Ni kweli walikuwa wanaigiza ile scene ya MZEE WA MAGUMASHI,ila hao mademu walionekana wako na bambo(mzee wa magumashi mwenyewe)lakini hizo picha nyingine hazikuonekana,nadhani watakuwa walifaidi kwanza then ile ambayo haijakaa ki hatari hatari ndio wakai2mia.