Nimeshangaa kuona mtoto wa miaka 2.5 anaumwa kisukari.

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,314
2,635
Hellow jf dr's mtoto wa dada yangu kapatwa na huu ugonjwa wa kisukari ki-ukweli kabisa sikuwa kusikia kuhusu huu ugonjwa kuwapata watoto wadogo.hapa napata hofu kwa kuwa niliwahi kusikia huo ugonjwa hauna tiba.(sina uhakika) wana jf ninachoomba ni uelewa wenu 1. nini chanzo cha kisukari 2.ipi tiba yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom