mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,688
- 105,677
Wana jealous na wafumbuzi hao kw sababu wao wameshindwa gundua hata kijiko cha kulia
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah ndio binadamu tulivyo hatuna Jema..Sio kila chombo cha moto kinaingizwa barabarani, kuna standards. Ikiruhusiwa na kusababisha ajali sababu ya kukosa viwango pia mngeilaumu mamlaka husika.
Kulikuwa kuna ubaya gani Serikali kusapoti au kuingia ubia na mhusika na kufanya investment kwenye uo ubunifu ili kumeet izo standardsSio kila chombo cha moto kinaingizwa barabarani, kuna standards. Ikiruhusiwa na kusababisha ajali sababu ya kukosa viwango pia mngeilaumu mamlaka husika.
Umeongea la maana.Kulikuwa kuna ubaya gani Serikali kusapoti au kuingia ubia na mhusika na kufanya investment kwenye uo ubunifu ili kumeet izo standards
Kwa akili hii maendeleo yatabaki ndotoniNi kawaida ya Waafrica kuangushana kimaendeleo, badala ya kujenga ubunifu wanaserikali hujitaidi kuangusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Mabasi yanayoua Kila siku hayako kwenye viwango? Hilo karatasi la viwango vya mzungu usipotupa chooni .Huji gundua kitu.wazungu wakigundua kitu hicho ndicho wanatangaza kuwa ndio kiwango kipya.Wakigundua version ingine wanakuletea karatasi ingine ya viwango vipya utapasuka kichwa kwa kukariri viwango vya wazungu vikiwemo viwango vya vyoo anavyonyea mzungu Na masinki yake.Mswahili akigundua choo Na sink lake kazi yako utalinganisha Na hicho cha mzungu Na kukataa ukiona kiko tofauti Bila kujali kama makalio ya wazungu Na waswahili yanafanana au la.LooooooSio kila chombo cha moto kinaingizwa barabarani, kuna standards. Ikiruhusiwa na kusababisha ajali sababu ya kukosa viwango pia mngeilaumu mamlaka husika.
EMBU WE MLETA MADA SEMA MWENYEWE HAPA KAGUNDUA NN ZAIDI YA KUUNGAUNGA HILI NI ZAIDI YA CHOTARA MARATIRI YA GARI LINGINE NODI SIJUI YA MANDOLIN AU embu tuwage wakweli kuna kugundua kuvumbua na kukopi hapo jamaa kafanya nnView attachment 854490
Nimeona hii habari nikasikitika Sana, hivi Tanzania ya viwanda tunataka iwe ya viwanda gani?
Nilitegemea serikali na taasisi mbalimbali wajitokeze wamsapoti Huyu mzee aliyebuni hii Bajaji
Ila walichokifanya ni kumnyima vibali eti kisa Bajaji haijakidhi viwango,sasa kama haijakidhi viwango si ndio fursa hiyo ya kuingia ubia na huyo mzee ili kuboresha hiyo Bajaji.
Soko la Bajaj lipo hapa kwetu Tanzania na Africa kwa ujumla, kwa kutumia ubunifu wa Bajaj inayobeba abiria wengi(kama 7) tungeleta ushindani na products nyingine toka China na pengine.
Rai yangu Serikali na taasisi mbalimbali tujitahidi kuinua teknolojia yetu kwa kuwasapoti wajasiriamali na wabunifu mbalimbali wa hapa kwetu ili tuweze kuifikia Tanzania ya viwanda.
Pia kikubwa watu wanamshabikia jamaa ni kwamba ametengeneza ila hajavumbua yeye. Hapo ametumia mechanics za uundaji wa bajaji sema yeye kaifanya kienyeji.watanzania tunapenda sana "spoon feeding". sio kazi ya serikali kumboreshea huyo mzee hiyo bajaji wala sio kazi ya serikali kuwa mbia/mwekezaji kwenye hiyo biashara.
Kinachofanyika nchi za wenzetu wanaojielewe ni ukitengeneza prototype ya ubunifu wako basi unatafuta wabia (watu wenye uwezo wa kuwekeza pesa zao kwenye hiyo biashara) kisha unawashawishi na kuwaonesha jinsi ubunifu wako unavyoweza kuwaingizia mabilioni, wakikubali kuwekeza hapo ndipo utaajiri wataalamu mbalimbali ikiwa ni pamoja na watu wa "quality control" na hao ndio watakao hakikisha unatengeneza bidhaa zenye ubora.
kazi ya serikali itakua ni kuhakiki ubora wa hizo bidhaa na kukusanya kodi tu!
tuache tabia za kijamaa kulilia serikali kila kitu ni mentality ya kipuuzi kabisa.
Wewe ndio umeathiriwa na wazungu. Common sense tu, hata sisi tuna standards.Kwa hiyo Mabasi yanayoua Kila siku hayako kwenye viwango? Hilo karatasi la viwango vya mzungu usipotupa chooni .Huji gundua kitu.wazungu wakigundua kitu hicho ndicho wanatangaza kuwa ndio kiwango kipya.Wakigundua version ingine wanakuletea karatasi ingine ya viwango vipya utapasuka kichwa kwa kukariri viwango vya wazungu vikiwemo viwango vya vyoo anavyonyea mzungu Na masinki yake.Mswahili akigundua choo Na sink lake kazi yako utalinganisha Na hicho cha mzungu Na kukataa ukiona kiko tofauti Bila kujali kama makalio ya wazungu Na waswahili yanafanana au la.Loooooo
Aweke Bendera za Ccm itaruhusiwaView attachment 854490
Nimeona hii habari nikasikitika Sana, hivi Tanzania ya viwanda tunataka iwe ya viwanda gani?
Nilitegemea serikali na taasisi mbalimbali wajitokeze wamsapoti Huyu mzee aliyebuni hii Bajaji
Ila walichokifanya ni kumnyima vibali eti kisa Bajaji haijakidhi viwango,sasa kama haijakidhi viwango si ndio fursa hiyo ya kuingia ubia na huyo mzee ili kuboresha hiyo Bajaji.
Soko la Bajaj lipo hapa kwetu Tanzania na Africa kwa ujumla, kwa kutumia ubunifu wa Bajaj inayobeba abiria wengi(kama 7) tungeleta ushindani na products nyingine toka China na pengine.
Rai yangu Serikali na taasisi mbalimbali tujitahidi kuinua teknolojia yetu kwa kuwasapoti wajasiriamali na wabunifu mbalimbali wa hapa kwetu ili tuweze kuifikia Tanzania ya viwanda.
Waliogundua ndege ni wright brothers sijui ni Wamarekani lakini hata China wanatengeneza.EMBU WE MLETA MADA SEMA MWENYEWE HAPA KAGUNDUA NN ZAIDI YA KUUNGAUNGA HILI NI ZAIDI YA CHOTARA MARATIRI YA GARI LINGINE NODI SIJUI YA MANDOLIN AU embu tuwage wakweli kuna kugundua kuvumbua na kukopi hapo jamaa kafanya nn
Wangeruhusu hata iwe Na leseni ya barabara za vijijini isikanyage mjini at least kumpa time ya kuona uwezo wa chombo chake .Hawajamtendea haki mamlaka husika watoe majibu kwa nini wamemkatalia mbele ya umma wanaandishi wa habari Na wabunge Bila kujali vyama saidieni kuhojiKwakweli inauma sana,ndio maana mimi nasemaga vyombo kama bajaji na pikipiki usajili wake uwe tofauti na magari,usajili wake uwe unafanyika kwenye halmashauri na manispaa tu.
Maafsaa vitambi wengine shida tu.Wangeruhusu hata iwe leseni ya barabara za vijijini isikanyage mjini at least kumpa time ya kuona uwezo wa chombo chake .Hawajamtendea haki mamlaka husika watoe mujibu kwa nini wamemkatalia mbele ya umma wanaandishi wa habari Na wabunge Bila kujali vyama saidieni kuhoji
Nadhani Tanzania kwa sasa ni nchi ya mlengo wa Kati so Ujamaa bado upo,unaposema nchi za wenzetu unaongelea nchi za kibepari na ambazo tayari zimeshaendelea sana kiuchumi.watanzania tunapenda sana "spoon feeding". sio kazi ya serikali kumboreshea huyo mzee hiyo bajaji wala sio kazi ya serikali kuwa mbia/mwekezaji kwenye hiyo biashara.
Kinachofanyika nchi za wenzetu wanaojielewe ni ukitengeneza prototype ya ubunifu wako basi unatafuta wabia (watu wenye uwezo wa kuwekeza pesa zao kwenye hiyo biashara) kisha unawashawishi na kuwaonesha jinsi ubunifu wako unavyoweza kuwaingizia mabilioni, wakikubali kuwekeza hapo ndipo utaajiri wataalamu mbalimbali ikiwa ni pamoja na watu wa "quality control" na hao ndio watakao hakikisha unatengeneza bidhaa zenye ubora.
kazi ya serikali itakua ni kuhakiki ubora wa hizo bidhaa na kukusanya kodi tu!
tuache tabia za kijamaa kulilia serikali kila kitu ni mentality ya kipuuzi kabisa.