Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,561
- 3,557
Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu...
Nimeshangaa kukuta bei tofauti za mafuta ya Petroli katika Petrol Stations mkoani Kagera.
Hivi hawa Ewura ambao ndio wadhibiti wa Nishati hii (Petrol) katika kusimamia Ubora ikiwa ni pamoja na usimamizi wa Bei,
mbona huku vituo kila mmoja na bei yake..!!
Je lile azimio la kila Mkoa kuwa na bei elekezi linaishia huko Mikoani..!
Swali je Mafuta ya huku Kagera yanatoka wapi, labda pengine ni nchi jirani Uganda hivyo mnapoteza haki ya Udhibiti wa Ubora pamoja na Bei.
Tunaomba mamlaka ziingilie kati, ili wananchi tupate kile tunacho stahili..
Nimeshangaa kukuta bei tofauti za mafuta ya Petroli katika Petrol Stations mkoani Kagera.
Hivi hawa Ewura ambao ndio wadhibiti wa Nishati hii (Petrol) katika kusimamia Ubora ikiwa ni pamoja na usimamizi wa Bei,
mbona huku vituo kila mmoja na bei yake..!!
Je lile azimio la kila Mkoa kuwa na bei elekezi linaishia huko Mikoani..!
Swali je Mafuta ya huku Kagera yanatoka wapi, labda pengine ni nchi jirani Uganda hivyo mnapoteza haki ya Udhibiti wa Ubora pamoja na Bei.
Tunaomba mamlaka ziingilie kati, ili wananchi tupate kile tunacho stahili..