Nimeshakata tamaa ya maisha nimepanga kujiua ( mawazo yangu ni kujiua 100%)

Wewe usichezee watu akili. Nenda serikali ya mtaa wako utasaidiwa. Ndiyo kazi ya serikali hiyo.
 
Hey wala usijiue.. mm yalinikuta hayo.. nilipoteza pesa forex 6000$ tena ya kuazima kwa watu tofauti karibu 20. Nilikaa ndan zaid ya 2 years .. sina kitu ...
But always God give second chance .. and other side of life...
Kama kufa , kupo tu subiri kikukute chenyewe ila si wewe kujiua..
Dont kill yourself
Pole sana mkuu....
 
Hahaha
FOREX FOREX FOREX INATAKA KUTOA ROHO YA MTU..... ONTARIO utawaambia nini watu jamaa akijiua?


ila nini mkuu... KUJIUA SIO SULUHISHO, KUNA MAISHA MAZURI YANAKUSUBIRI MBELE, UNAPOKATA TAMAA UNAFELI SANA.

NAAMINI WATU WATAKUJA KUKUSAIDIA...MUNGU ANAONA KILIO CHAKO.
 
Nilitaka niulize hivi hivi na nimetafuta labda kuna mtu mwingine atakuwa ameuliza hivi kwenye comments sijamuona hata mmoja naona watu wengi walivyomaliza tu kusoma uzi wakaanza kucomment

Hawajajihangaisha hata kuangalia hizo screenshots hebu naomba mimi na wewe tusaidiane kushangaa hapa screenshots zikatoe hadi muonekano wa simu nzima kweli? Anyway labda mimi ndiyo mshamba!
Izo screenshoot zina toa adi body la simu yote .. noma sana
 
Yani we jamaa kufa unaona kama dili hivi. Ili nilichogundua kuishi unataka na ndo mana umeandika bonge la post halafu unasubiri mpaka usome comments zote sijui ndo ufe vizuri? Halafu eti unataka ushauri tena. Ushauri wangu endelea kupambana mpaka tone la mwisho la damu yako. Hutakiwi kujiua halafu wewe unamaisha mazuri sema tu unataka kupata kwa haraka. Waangalre walro chini yako utajifunza kitu,epuka kuwatazama walio kuzidi kipato. Amini usiamini kwa maisha hayo wapo uliowazidi kipato na ndo mana una mia sita mfukoni hela ambayo unataka ukanunulie sumu. Hiyo hela kanunue unga nusu usonge uji unywe upate nguvu ya kufikiri vitu vilivyokuwa sawasawa.
 
Uza simu anza biashara ndogo ndogo kama vile machungwa, ndizi nk huwez kukosa pesa ya kula
 
Back
Top Bottom