Nimeshakata tamaa ya maisha nimepanga kujiua ( mawazo yangu ni kujiua 100%)

Duuh mkuu umeongea yote kana kwamba unauhakika lakini nipende tu kukwambia hakuna mtu mwenye akili timamu aweze kujidanganyia nafsi yake kila nilichoandika ni ukweli wa maisha yangu familia niliyolelewa mm ndo naijua, hali niliyoipata mm sidhani kama umewahi ipata mkuu nilikuwa na zaidi ya milioni 3 ni sahihi kuhusu meseji icon unazoziona ni sahihi lakini ni nani mwenye moyo wa uvumilivu pale unapopoteza milioni 3 na zaidi hio KWA lisaa na kujikuta vitu vya ndani vyote umeuza na hauna chochote unapeleka wapi USO wako ni sahihi kuyazungumza kwa mwenzio lakini likikufika hakuna ujanja


Ushauri wako ulikuwa muhimu sana kwako unless hutoi msaada wowote ila kumshauri mtu ni jambo jema zaidi kama nimedanganya Mungu aniadhibu Mara mbili ya hapa

Ahsante mkuu
Whatever. Either you are lying or saying the truth si umesema umeamua kujiua?? Go ahead.
 
Mwenye kujiua hatangazi anaacha ujumbe akisha jiua. Huyu tapeli tu anacheza na "emotions" za watu.
Dada niachilie basi hujui nini napitia unazungumzia kuhusu kuchati Mara bando Mara internet, Mara kuniambia mm tapeli duuh inauma inauma tena sana

Majibu juu ya hili nimetoa
1. Wakati nipo forex nilijiunga bando la mwezi ambalo still bado nalitumia mpaka sasa

2.hivi nimetoka kunywa uji wa mahindi uliochanganywa na chumvi believe me

3. Sioni sababu na kosa la kunitusi tangu Jana mpaka Leo kwenye jambo ambalo haujathibitisha wapi nimekukwaza Dada ,au wataka kuthibisha kwa njia gani ujue jambo nalozungumza lina ukweli

Sorry kama nimekuudhi kwa namna yeyote
 
Dada niachilie basi hujui nini napitia unazungumzia kuhusu kuchati Mara bando Mara internet, Mara kuniambia mm tapeli duuh inauma inauma tena sana

Majibu juu ya hili nimetoa
1. Wakati nipo forex nilijiunga bando la mwezi ambalo still bado nalitumia mpaka sasa

2.hivi nimetoka kunywa uji wa mahindi uliochanganywa na chumvi believe me

3. Sioni sababu na kosa la kunitusi tangu Jana mpaka Leo kwenye jambo ambalo haujathibitisha wapi nimekukwaza Dada ,au wataka kuthibisha kwa njia gani ujue jambo nalozungumza lina ukweli

Sorry kama nimekuudhi kwa namna yeyote
Yaani kwenye forex una mwezi mmoja tu ukaweka mtaji wa zaidi ya Dollar 1000 ???
 
Kama utajiua kweli basi wewe sio sojer kivile .

Binafsi utoto nimepitia ugumu fulani ila sikuwahi kata tamaa

Dawa ni kutoka hapo anza kuzunguka kitaa utapata jibu la matatizo yako

Mtembea bure si sawa na mkaa bure
OK hayajakukuta ukweli ninao mm wala sio lazima ukanisaidia kipesa nimeomba tu ushauri pia nimeomba kwa wenye connection serikalini kupata ajira kama ikibidi kuhusu kumsaidia mtu sioni kama kila aombaye msaada ni tapeli tusameheane mkuu sisi sote. Tunapita
U ajiitaj
 
Yaani kwenye forex una mwezi mmoja tu ukaweka mtaji wa zaidi ya Dollar 1000 ???
Mkuu nilianza na dola chache lakini kila siku nilikuwa natumiwa meseji ( margin call) kuwa account inaelekea kuungua so huwa wanashauri ili kuepusha kuunguza inabidi kuongeza balance ili kuongeza margin level ndo hiko nilichokuwa nikifanya mpaka kujikuta nimeweka pesa yote na kubaki mikono mitupu
 
Dawa ni kutoka hapo anza kuzunguka kitaa utapata jibu la matatizo yako

Mtembea bure si sawa na mkaa bureU ajiitaj

Kuna kipindi na mimi nilitaka kujiuwa na nikawa nazunguka madukani kutafuta kamba ile ya kufungia ng'ombe. ila niliona watu wanashida kuliko mimi and they were comfortably walking

Kuna mmoja nilikutana naye ameungua uso mzima huwezi kumuangalia mara mbili lakini alikua anafurahia maisha yake hapa duniani

mzee baba toka kasimame hata na waosha magari kwenye vijiwe vyao waambie hata unawasaidia akupe hata 500/= unajiita sojer lakini wewe ni mtu laini laini sana.

Tatizo limeanzia hapo kwenye kamari mimi naelewa sana na ndio kinachokupelekea kujiuwa hapo naona umechoma 2 milion ndani ya muda mfupi tu. Kuna mtu hajawahi kuikamata hiyo 2 milio miaka kadhaa iliyopita lakini hawaziii kabisa kujiuwa.

Acha ujinga jombaa life is good usifanye mzaha na maisha?

Hivi unaelewa kwanini serikali ilitumia helicopter kuchukua majeruhi wa lori la mafuta kutoka morogoro kuja muhimbili? Tafakari arifu acha ujinga
 
Sisi wote hapa tuna shida, kama kazi ata sisi hatuna, lakini tunafurahi, tunajifariji, tukiamini Mungu na bidii zetu siku moja tutapata. Soma neno la Mungu na sari sana, msaada utakuja tu. Ubarikiwe.
 
usikatae tamaa pambana kila kukucha , yupo Mungu ambaye anasikia maombi .
 
Pole, kuna rafiki yangu angesoma hapa angekusadia, ila watu kama nyete 😂wanamkatisha tamaa ya kusaidia.
 
Mkuu pole sana ila kufa sio suluhu. Pambana mdogomdogo nauache kutamani vikubwa ambavyo vimekuzidi akili namaarifa (forex)
 
Wewe tatizo lako ni wehu una papala ya maisha ndo maana unataka mafanikio ya ghafla ndo maana umeangukia kwenye mikono ya KAMALI ZA AKINA ONTARIO.
Anzisha Tuition centre fundisha kuanzia vidudu hadi form two uone kama utakosa hela ya kula pili achana na roho ya kulalamika kama vile upo peke yako hapa duniani unaeteseka,wengine tumepitia njia hizo hizo ila baadae tukakaa sawa.
JIUE TUTAZIKA MWANAUME GANI HAUPO STABLE UNALIA LIA KAMA MTOTO MBAYA ZAIDI HUNA FAMILIA WALA WANAOKUTEGEMEA UNAJISHINDWAJE WEWE KUJILISHA ILIHALI U MZIMA WA AFYA YA MWILI NA AKILI.AMKA PAMBANA KULIA LIA HAKUKUSAIDII CHOCHOTE KUNAZIDI KUKUTEKETEZA NA KUNAMFANYA SHETANI AKUSOGELEE KIASI KWAMBA ANATAKA APITE NA ROHO YAKO.
 
Dada niachilie basi hujui nini napitia unazungumzia kuhusu kuchati Mara bando Mara internet, Mara kuniambia mm tapeli duuh inauma inauma tena sana

Majibu juu ya hili nimetoa
1. Wakati nipo forex nilijiunga bando la mwezi ambalo still bado nalitumia mpaka sasa

2.hivi nimetoka kunywa uji wa mahindi uliochanganywa na chumvi believe me

3. Sioni sababu na kosa la kunitusi tangu Jana mpaka Leo kwenye jambo ambalo haujathibitisha wapi nimekukwaza Dada ,au wataka kuthibisha kwa njia gani ujue jambo nalozungumza lina ukweli

Sorry kama nimekuudhi kwa namna yeyote
Wewe wacha porojo. Nani kaongea kuhusu bundle na kujiunga? Kanisome vizuri.

Mimi nimesema anaejiua hatangazi kabla anaacha ujumbe tunauona akisha kufa.

Usichez3 na emotuons za watu. Watu wanapoteza mabillioni hawajiui. Kina Singh wa IPTL wapo jela wanakunywa uji bila chymvi na wao ni mabilionea. Wewe ki dola chako elfu unataka kujiua? Usituletee tabu. Anaejiua hatangazi. Hatutaki ushahidi.

Peleka upuuzi wako hukohuko ukujuapo.

Wanaqake wanabeba zege na hawalalamiki. Uko wapi nikuelekeze pa kufanya kazi upate pesa.

Wacha ujinga.
 
Wewe wacha porojo. Nani kaongea kuhusu bundle na kujiunga? Kanisome vizuri.

Mimi nimesema anaejiua hatangazi kabla anaacha ujumbe tunauona akisha kufa.

Usichez3 na emotuons za watu. Watu wanapoteza mabillioni hawajiui. Kina Singh wa IPTL wapo jela wanakunywa uji bila chymvi na wao ni mabilionea. Wewe ki dola chako elfu unataka kujiua? Usituletee tabu. Anaejiua hatangazi. Hatutaki ushahidi.

Peleka upuuzi wako hukohuko ukujuapo.

Wanaqake wanabeba zege na hawalalamiki. Uko wapi nikuelekeze pa kufanya kazi upate pesa.

Wacha ujinga.
Ok
 
Mkuu maziko lini? Mi nitachangia sanda kama wewe ni Mwislam, lakini kama wewe ni Mkristo, n'tachangia pamba za kuweka puani na masikioni. Kabla hujafa rasmi, usisahau kutupatia address ya wapi yataweka matanga ili tuje kukusindikiza.
 
Watu kweli katika ushauri ni wazuri ila baadhi ya watu husadifu yaliyo moyoni mwao jamani mtu anashida ivi lakini still anasimangwa hatari

Mdau Mimi ungeacha Namba hapo ningekutumia hata chochote maana kama umedanganya najua mungu atanilipa zaidi NA zaidi ila nitakuwa nimesafisha moyo wangu

Weka Namba mdau au nifuate inbox nakugei chochote hata. Elfu kumi itakusaidia tu kama bado upo kwa hewa tuma Namba au nione inbox jomba
 
Back
Top Bottom