Nimeshaiva kimuziki nahitaji management ili niweze kutoka

Unamtafuta meneja wakati huo umeshameandalia watu wa kufanyanae kazi , unampa maelekezo meengi meneja ambaye hujampata badala ujieleze wewe!!
 
Unamtafuta meneja wakati huo umeshameandalia watu wa kufanyanae kazi , unampa maelekezo meengi meneja ambaye hujampata badala ujieleze wewe!!
Nadhani hujamuelewa jamaa vizuri, kumbuka hii sio interview! na wengi bado ni wageni kwenye management ndo maana anatoa na ushauri
 
moja ya link ya kazi yangu//


Nimesikiliza, Nimekubali quality ya ''msikizo/usikivu wa vyombo'' ipo standard ya kimataifa, wasanii wengi Tanzania kazi zao, quality ya sound za vyombo huwa ''mono sana'' YouTube.

Kuhusu sauti ya uimbaji unahitaji kuifanyia maboresho nenda kwa Learn to sing with Tony Joett / joettmusic Youtube au www.joettmusic.com Tanzania ikiwezekana onana naye.

Ila Youtube soko la dunia hawajali sana lugha hivyo Fanya haraka wimbo wa kwanza ktk demo clip uliotupia Youtube nimeona maelezo ''yakujificha a.k.a maelezo hafifu yasiyojitosheleza '' watu wata sample kazi yako! Nanukuu niliyoyaona Youtube kama ulivyo upload
''Published on 12 Nov 2016
Bongo Flavour Fl studio beat and vocal arrangement

Fl studio 11
Beat created by Givadam hehe. Ⓒ2016 ® all rights reserved''


bado hujaweka full info muhimu (Artist ni nani,facebook, insta, Twitter account , gmail, mobile no., country Tanzania, producer & studio) usije ukawa kama kina producer Frank Majani na msanii Saida Karoli kukuta kazi zao zinanakiliwa na kukosa hati miliki toka day one.

Mwisho kwanini sauti ya vyombo ktk clip uliyoweka JamiiForums ni standard ya juu na ina utofauti na ukisikiliza moja kwa moja toka website ya Youtube, tatizo ni nini. Hakikisha kitu unachotupia Youtube iwe na sauti kama yale matangazo ya kampuni kubwa YouTube.
 
Mfano Naona Studio wanajitahidi nimesikiliza kazi hii jamaa waliofanya remake ya ''Bado'', hasahasa usikivu wa sauti ya vyombo unavutia masikioni ndiyo kitu ambacho American Nigga nakushauri utafika mbali sana.

Umeona hii clip hapa chini tatizo ni hakuna full info huyu Eriq Milanzi atapatikana vipi facebook, twitter, gmail, country, mobile no.n.k wapi maana YouTube ni ulimwengu mzima hivyo ukitupia waza zaidi ya Tanzania watakusikiliza Afrika, Ulaya, South America, North America, Asia n.k na labda wanataka kufanya kazi ktk studio yako/ watanunua/wata-sponsor/ watatumia clip ktk sinema za Hollywood na utapata kipato kupitia hati miliki ukiweka wazi info zote muhimu.

Bado - Harmonize Ft Diamond Platnumz fl studio remake by pro herry


By Eriq Milanzi
 
Hauko serious kaka.,,,kwahyo kila mtu aje whatsapp???!!!!!,,,,kwan usitune hapahapa?
Mzee hawezi kuweka kazi zake zote hapa kumbuka bado hazijatoka na kuachiwa, pia anasema ni Demo hivyo kuna sababu za kiusala pia kwenye hizo kazi zake, but ameweka link hiyo yenye kazi yake ambayo inaweza kukupa concept kuwa anamaanisha anachoongea au anaigiza
 
Nimesikiliza, Nimekubali quality ya ''msikizo/usikivu wa vyombo'' ipo standard ya kimataifa, wasanii wengi Tanzania kazi zao, quality ya sound za vyombo huwa ''mono sana'' YouTube.

Kuhusu sauti ya uimbaji unahitaji kuifanyia maboresho nenda kwa Learn to sing with Tony Joett / joettmusic Youtube au www.joettmusic.com Tanzania ikiwezekana onana naye.

Ila Youtube soko la dunia hawajali sana lugha hivyo Fanya haraka wimbo wa kwanza ktk demo clip uliotupia Youtube nimeona maelezo ''yakujificha a.k.a maelezo hafifu yasiyojitosheleza '' watu wata sample kazi yako! Nanukuu niliyoyaona Youtube kama ulivyo upload
''Published on 12 Nov 2016
Bongo Flavour Fl studio beat and vocal arrangement

Fl studio 11
Beat created by Givadam hehe. Ⓒ2016 all rights reserved''


bado hujaweka full info muhimu (Artist ni nani,facebook, insta, Twitter account , gmail, mobile no., country Tanzania, producer & studio) usije ukawa kama kina producer Frank Majani na msanii Saida Karoli kukuta kazi zao zinanakiliwa na kukosa hati miliki toka day one.

Mwisho kwanini sauti ya vyombo ktk clip uliyoweka JamiiForums ni standard ya juu na ina utofauti na ukisikiliza moja kwa moja toka website ya Youtube, tatizo ni nini. Hakikisha kitu unachotupia Youtube iwe na sauti kama yale matangazo ya kampuni kubwa YouTube.
Video yake ina high quality jaribu kubadilisha pixel za video unapokuwa Youtube, nimeitizama hiyo Video ina HD inayofikia 720p
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom