Asantesawa american nigga
all the best
Mimi nataka kumdhadhili mwanamkesawa american nigga
all the best
AsanteHongera utafanikiwa kipaji unacho hakuna linaloshindikana chini ya jua Mdau.
sawaRekodi single yako weka hapa tuthaminishe kama tukiweka pesa yetu italipa au la hasha.
kumdhadhili ndio nini?Mimi nataka kumdhadhili mwanamke
Kwani Diamond anauza Album?Narap ila siwezi kujiwarrant kwenye rap, muziki wake ni mgumu mno sokoni, hauuziki.
Darasa hafanyi hip hop.
wenyewe mnasema hip hop haiuzi mbona Darasa katoboa
Hailipi ile tusidanganyane wasanii wa hip hop wenye mafanikio ya Muziki kibongo huwezi kufananisha hata robo na wasanii wanaoimba bongo..Wakina Joh mbona Rap imewapa kile ilichowapa na bado hawajabana pua wameendelea na rap kama ilivyo ada.
Blue mpaka leo hii anafoka, hivi ni kweli ingekuwa aina hiyo ya muziki haulipi angeendelea kufanya kwa kitu ambacho hakimlipi kweli...?
Hailipi ile tusidanganyane wasanii wa hip hop wenye mafanikio ya Muziki kibongo huwezi kufananisha hata robo na wasanii wanaoimba bongo..
moja ya link ya kazi yangu//
ungeweza kuimba na hiphop/rap pia tungeongea lkn basi