MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Kwetu Musoma.
Nimesoma na kuishi Bukoba miaka 3.
Nimekaa na kufanya kazi Kilimanjaro.
Nimeshaembea sana na kuzunguka hii nchi ingawa ndio kwanza nina miaka 32.
Ninachotaka kukwambia Wahaya na Wachagga walikiwa zamani. Na hii ni kwasbabu za kiutamaduni tu.
Sasa hivi hakuna kabila lenye maajabu yoyote. Siku hizi hata MMASAI anajua nini anataka, anaijua PESA na ELIMU.
Tena vijana wengi huko Uhayani na Uchaggani zimebaki SIFA tu za wazee wao, wao hakuna cha maana wanafanya.
Narudia tena.
Sasa hivi hakuna mjinga.
Ukileta UBAGUZI wewe jiandae na MATOKEO ya ubaguzi.
Ni TIT FOR TAT.
Nimesoma na kuishi Bukoba miaka 3.
Nimekaa na kufanya kazi Kilimanjaro.
Nimeshaembea sana na kuzunguka hii nchi ingawa ndio kwanza nina miaka 32.
Ninachotaka kukwambia Wahaya na Wachagga walikiwa zamani. Na hii ni kwasbabu za kiutamaduni tu.
Sasa hivi hakuna kabila lenye maajabu yoyote. Siku hizi hata MMASAI anajua nini anataka, anaijua PESA na ELIMU.
Tena vijana wengi huko Uhayani na Uchaggani zimebaki SIFA tu za wazee wao, wao hakuna cha maana wanafanya.
Narudia tena.
Sasa hivi hakuna mjinga.
Ukileta UBAGUZI wewe jiandae na MATOKEO ya ubaguzi.
Ni TIT FOR TAT.