New broke in the streetKIMEUMANA huko tayari.......
Pole mkuu
Sijaachana nayo kwa sababu nimeshakuwa mkubwa naelewa nini maana ya mapenzi, na pia najua kitu kupendaJirani acha kumdanganya mwenzio, wewe mbona hujaachana nayo?
Mnyaturu hujambo??Na Mimi Nina stress Sana na Hawa mademu
Funguka zaidi,anakuchora vp!?Unajua nimeishi na wasichana wengi na hata side wangu ni mzuri hasa ila huyu mtu wa 3 years anakila kitu cha mke mwema leo nimejua ananichola for 3 years yani nimeishiwa pozi nimesema kuzaaa au kuwa na serious relationship Tanzania au Africa mwisho leo maana nusu nimuoe unajua ndoa ya serikali nilikosa card yake tu ya nida.
Now namwona rubbish na sina replacement mwenye afadhali nimetulia nae nipige pige wee till then ni bwage
Mkuu...mbona unamwekea mwenzio maneno mdomoni? Amesema anamchola sio anamchora...ni vyema ukauliza kama hujaelewa maana ya nenoFunguka zaidi,anakuchora vp!?
Mkuu ukipata time andaa mada kuhusu unavowajua wanawake ..uzidi kutufungua akiliPole brother naona umevurugwa kweli hata kuandika vizuri imekua shida.
Tuliza akili kwanza. Wanawake kama huwajui utaishia kujiua ama kuua mtu uishie jela bure.
Kama bado hujawaelewa wanawake, achana nao, piga punyeto tu usije kufanya maamuzi ya ajabu.
Ukiwaelewa wanawake Dunia hii unaishi kwa raha sana na maisha mazuri. Usipowajua utapata shida sana.
Tuachieni sisi tunaowajua wanawake tuendelee kufaidi maisha. Achaneni na wanawake kama hamuwaelewi.
We men..we always think that we are dating angels or a supermarket that we can get all we want....And we are too feeble to notice our shortcomingsUnajua nimeishi na wasichana wengi na hata side wangu ni mzuri hasa ila huyu mtu wa 3 years anakila kitu cha mke mwema leo nimejua ananichola for 3 years yani nimeishiwa pozi nimesema kuzaaa au kuwa na serious relationship Tanzania au Africa mwisho leo maana nusu nimuoe unajua ndoa ya serikali nilikosa card yake tu ya nida.
Now namwona rubbish na sina replacement mwenye afadhali nimetulia nae nipige pige wee till then ni bwage
😁😁Mkuu...mbona unamwekea mwenzio maneno mdomoni? Amesema anamchola sio anamchora...ni vyema ukauliza kama hujaelewa maana ya neno
Dan D imekuaje kaka?! Mbona hueleweki?🤣🤣Unajua nimeishi na wasichana wengi na hata side wangu ni mzuri hasa ila huyu mtu wa 3 years anakila kitu cha mke mwema leo nimejua ananichola for 3 years yani nimeishiwa pozi nimesema kuzaaa au kuwa na serious relationship Tanzania au Africa mwisho leo maana nusu nimuoe unajua ndoa ya serikali nilikosa card yake tu ya nida.
Now namwona rubbish na sina replacement mwenye afadhali nimetulia nae nipige pige wee till then ni bwage
We men..we always think that we are dating angels or a supermarket that we can get all we want....And we are too feeble to notice our shortcomings
Mwambie azoee tu ndio ukubwaNew broke in the street
Na siku atakufaa asahau yote 😔Yatakwishaa....utasahau na maisha yataendelea
Hawa dada zetu wamekuwa wa ovyo sana siku izi yani kugawa papuchu na uongo ndio imekuwa sifa zao. Nishatumiwa bill ya hospital almost 300k aisee kumbe demu kaenda kuflash mimba ya jamaa alafu nilipe mimi, sometimes ukifikiria unaweza kukata tamaa na kuwachukia kabsa lakini life goes on and it has either with or without them.Unajua nimeishi na wasichana wengi na hata side wangu ni mzuri hasa ila huyu mtu wa 3 years anakila kitu cha mke mwema leo nimejua ananichola for 3 years yani nimeishiwa pozi nimesema kuzaaa au kuwa na serious relationship Tanzania au Africa mwisho leo maana nusu nimuoe unajua ndoa ya serikali nilikosa card yake tu ya nida.
Now namwona rubbish na sina replacement mwenye afadhali nimetulia nae nipige pige wee till then ni bwage