Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 964
- 1,877
Unajua nimeishi na wasichana wengi na hata side wangu ni mzuri hasa ila huyu mtu wa 3 years anakila kitu cha mke mwema leo nimejua ananichola for 3 years yani nimeishiwa pozi nimesema kuzaaa au kuwa na serious relationship Tanzania au Africa mwisho leo maana nusu nimuoe unajua ndoa ya serikali nilikosa card yake tu ya nida.
Now namwona rubbish na sina replacement mwenye afadhali nimetulia nae nipige pige wee till then ni bwage
Now namwona rubbish na sina replacement mwenye afadhali nimetulia nae nipige pige wee till then ni bwage