Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,732
Sema bado hujapata sababu ya kucheat, ukija kupata sababu ya msingi utakua mzoefu wa kudanganya pia.Mi mjinga sana kwenye mapenzi then sijui kudanganya na nkidanganya utajua hapohapo lands hizi za kawaida
Ila sio kucheat!!huko hapana yaani!