Kama ulifuatilia kampeni za hii awamu ya pili, JIWE hakuzungumza chochote kuhusu viwanda! Ajenda ya viwanda iliishia ile awamu ya kwanza na ni baada ya JIWE kuona kabisa Bongo hatuwezi kuwa na viwanda bila kwanza kuboresha mambo kadha wa kadha. It's that simple!Kwahiyo unataka kusema Awamu ya Magufuli Uwezo wetu wa kujitegemea kiviwanda uli-improve?! Nyie watu acheni utani jamani!!!! Sukari bei juu! Mafuta ya kula hayaonekani!! Mauzo ya nje kutoka manufacturing sector yameshuka!! Viwanda vingi uzalishaji umeshuka!! Saruji haishikiki! What exactly alichofanya Magufuli kwenye sector ya viwanda cha kutufanya tutembee kifua mbele? Are you blinded na hizi kauli za Tanzania ya Viwanda?! Kwa viwanda gani hasa?! Hiyo kauli mbiu ina tofauti gani na ile ya Kilimo Kwanza?!
Na nimesema kipindi cha Nyerere nchi ilikuwa dormant kwa sababu kama ulivyosema, Nyerere alijenga viwanda vingi sana! Lakini kama ni mfuatiliaji mzuri wa uchumi wa Tanzania, hadi Mwalimu anaondoka viwanda vingi vilikuwa havizalishi na hata vilivyokuwa operational vilikuwa vinafanya hivyo kwa hasara!!! Man, inawezekana mimi na wewe tulikuwa wadogo au hatujazaliwa lakini uliza watu wakuambie ni namna gani hata dawa ya meno ilionekana ni anasa!! Ni namna gani watu walikuwa wananunua sukari kwa kupanda foleni!!! Sasa kama ktk mazingira hayo nchi haikuwa dormant, man, labda nitafutie a better phrase lakini kwangu naona hiyo ndiyo phrase sahihi hasa! Kwamba, hapo kabla nchi ilikuwa na uhai lakini from late 1970's nchi ikalala kabisa kiuchumi!!!