"Nimesacrifice maisha yangu kwa ajili ya Watanzania masikini" Maneno ya kweli kabisa ya hayati mpendwa Rais Magufuli

Kwani hujasikia maelfu wamekufa kwa covid-19! Rais wetu hakufa kwa covid-19 wala changamoto ya upumuaji bali A. Fibrillation! Hivyo mambo ya covid-19 hayakufua dafu kwa comred wetu! Upo hapo? Msiupe utukufu usiokuwa nao!

Covid-19 haina cha utukufu. Inavuruga metabolism kiasi kwamba michakato ya mwili haifanyi kazi inavyopasa na kusababisha maafa kwa mwenye matatizo kama ya moyo, diabetes, hypertension, tb, nk. Ni ulaghai kutaka kutumia mambo ya imani kwenye janga hili pekee.

Hao maelfu unaosikia wamekufa kwa Covid-19 ni taarifa zinazotolewa na nchi zenye ukweli na uwazi kuhusu maambukizi na athari za Covid-19 nchini mwao.
 
Covid-19 haina cha utukufu. Inavuruga metabolism kiasi kwamba michakato ya mwili haifanyi kazi inavyopasa na kusababisha maafa kwa mwenye matatizo kama ya moyo, diabetes, hypertension, tb, nk. Ni ulaghai kutaka kutumia mambo ya imani kwenye janga hili pekee.

Hao maelfu unaosikia wamekufa kwa Covid-19 ni taarifa zinazotolewa na nchi zenye ukweli na uwazi kuhusu maambukizi na athari za Covid-19 nchini mwao.
Hivi ww una interest gani na covid-19! Kichwa kama corona! Ulishaambiwa uwezekano wa kupona corona ni zaidi ya 99%! Cheki malaria, ngoma, na cancer yanavyoua watu! Kwa nini corona tuuúuuuuu!? Mfyuuuuu!
 
Maneno haya yamenipa spirit kubwa sana, kutokana na kifo na mazingira ya kifo chake hakika JPM alisacrify maisha yake kwa ajili ya watanzania hasa watanzania masikini kwa namna alivyohangaika kuwatetea.

Tatizo lake la moyo halikuhitaji stress na kazi yake ya urais ilijaa stress na aliharibu kuizuia stress na ndiyo maana hata kwenye lockdown ama partial curfew alisikika akisema "hakuna kitu kibaya kama stress na msitegemee nitaweka lockdown" hii yote ni kujaribu yeye mwenyewe kuendelea na majukumu yake bila stress huku akijua kabisa moyo wake una tatizo.

Huu ndiyo upendo wake kwetu, zawadi ya uhai kwa ajili ya watanzania hasa watanzania masikini. "Huu ndiyo upendo wa kweli, upendo wa mtu kutoa uhai wake kwa ajili ya MTU mwingine".
Watu kama Hayati JPM hutokea mara chache..ngoja tuone siasa za kumalizia miaka minne mpaka 2025.
Upeo mfinyu na ujinga vinawagharimu watu masikini kiasi hawakuelewa Hayati Mwl.JK Nyerere alisema nini na alikisudia nini, hivyo hivyo kwa Hayati JPM watu bado..
Mungu saidia ujinga uishe..
 
Covid-19 haina cha utukufu. Inavuruga metabolism kiasi kwamba michakato ya mwili haifanyi kazi inavyopasa na kusababisha maafa kwa mwenye matatizo kama ya moyo, diabetes, hypertension, tb, nk. Ni ulaghai kutaka kutumia mambo ya imani kwenye janga hili pekee.

Hao maelfu unaosikia wamekufa kwa Covid-19 ni taarifa zinazotolewa na nchi zenye ukweli na uwazi kuhusu maambukizi na athari za Covid-19 nchini mwao.
Mkuu umewahi kijifungia tangu Corona ianze..au nawe unatembea kifua mbele kwa hekima ya Hayati JPM kukataa waty kufungiwa.
Nashukuru Mungu kwa kutusaidia tusife na Corona japo tumebezwa sana,Mungu amtupi mja wake.
Pumzika kwa Amani Hayati J.J.P Magufuli
 
Covid-19 haina cha utukufu. Inavuruga metabolism kiasi kwamba michakato ya mwili haifanyi kazi inavyopasa na kusababisha maafa kwa mwenye matatizo kama ya moyo, diabetes, hypertension, tb, nk. Ni ulaghai kutaka kutumia mambo ya imani kwenye janga hili pekee.

Hao maelfu unaosikia wamekufa kwa Covid-19 ni taarifa zinazotolewa na nchi zenye ukweli na uwazi kuhusu maambukizi na athari za Covid-19 nchini mwao.
Wewe kama waijua Corona si utoe Dawa!
Kama unajisafisha na sanitizer na unavaa barakoa kwa nini utuonee wivu tusiovaa?
Umeshashuhudia visa vingapi vya Corona vilivyoua na pia watu wangapi unajua wamepona?
Je unafurahia Corona au unashangilia Tanzania ikwame?
Tukishakwama utapewa hisa au gawio na nani? WHO? Oxford?..
Je unajua uhuru wa mipaka? Wafahamu si lazima kufungia watu ili Corona iishe!
Kama una akili za kuzidi uamuzi wa Serikali taja mbinu za kuikabili Corona ambayo ni ya pekee maana zote za Ulaya,Asia nk zinafeli hisusan chanjo..
POLE!
 
Watu kama Hayati JPM hutokea mara chache..ngoja tuone siasa za kumalizia miaka minne mpaka 2025.
Upeo mfinyu na ujinga vinawagharimu watu masikini kiasi hawakuelewa Hayati Mwl.JK Nyerere alisema nini na alikisudia nini, hivyo hivyo kwa Hayati JPM watu bado..
Mungu saidia ujinga uishe..
Ubaya wa ujinga hauna mwisho kama akili.... Mungu atupe utambuzi.
 
Hiki kichekesho cha mwaka!!! Kwahiyo mkishakaa meza moja tu ndo anabadilika kuwa malaika?! Kwani hapo zamani Rostam alikuwa anakaa meza tofauti na vigogo wa serikali na CCM?! Au anageuka kuwa malaika kwavile alikuwa anakunywa kahawa na JPM?!

Tusidanganyane bhana! CCM kumejaa mafisadi, hata JPM mwenyewe hakuwa na tofauti yoyote na hao mafisadi wengine na ndo maana hadi umauti umemkuta, muda wote alibaki kupiga yowe tu lakini huku akiendelea kucheka na viongozi mafisadi! Zaidi ya mipasho ya majukwaani kama vile "...kule Lindi kuna mtu ametafuna zaidi ya shilingi 20 billion"! Mkisikia hivyo, mnampigia makofi na kumuita anapambana na mafisadi! Kawafanya nini hao mafisadi zaidi ya kuleta cheap politics majukwaani; HAKUNA!!!

Wacha wee!! Umeshaachana na msamiati wa wezi na hivi sasa wanakuwa "wajanja wa mjini"?! Nyie wafuasi wa Magu nyinyi!!!

Hii ni kauli ya viongozi walioshindwa kutekeleza wajibu wao, na kuwapa nafasi wafuasi ili waendelee kusambaza kauli hizo!!! Hayo yote hayatafanikiwa kwa ufanisi endapo serikali haijaanda mazingira muafaka! Kule Same tumesikia kiwanda cha kusindika tangawizi kimekufa kutokana na sera za hovyo zilizodumaza sana sekta binafsi! Endapo serikali ingekuwa imetengeneza mazingira muafaka ya kuendeleza sekta binafsi, kiwanda cha tangawizi cha Same na vingine vingi kama hivyo visingekufa na hivyo wakulima wangekuwa na pahala pa kuuzia mazao yao!

Kule Kusini JPM akaingiza siasa kwenye korosho! Matokeo yake uzalishaji wa korosho umeshuka, na pia kusababisha kushuka kwa pesa za kigeni zinazotokana na zao la korosho! Sote hapa tumeshuhudia miaka 2 iliyopita jinsi ambavyo zao la mbazi lilikosa kabisa soko. Uzalishaji na export kwa mazao kadhaa ya kilimo umeshuka kwa sababu serikali haijawahi kuwa na mikakati thabiti ya kuhakikisha uzalishaji na exports vinaongezeka!! Badala ya serikali ya kuwa na ubunifu wa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato, au angalau kuchochea ukuaji wa sekta binafsi ili wakusanye kodi nyingi zaidi, tulichoshuhudia ni wafanyabiashara nyingi kufa!! JPM na wafuasi wake hawajawahi kuwa na majibu yenye mantiki zaidi ya kukimbilia hoja nyepesi kwamba hao walikuwa wakwepa kodi!! Kutokana na ukosefu wa ajira, vijana wakaanza kugeukia online opportunities kama vile blogging! Badala ya kuwa-support ndo kwanza serikali ika-introduce ushuru mkubwa kwa wale wote waliokusudia kutengeneza online contents, na YouTube Channels zikabatizwa na kuitwa eti ni Online Tvs!!

Mifano ipo lukuki lakini haina haja ya kujaza server lakini ukweli ni kwamba, bidii za wananchi si lolote si chochote kama serikali haijatengeneza mazingira muafaka ya ku-accomodate juhudi hizo!!!

Kujenga ukuta Mererani sio jambo la kujivunia manake ile ni mechanical solution! Ni kama kuua mende kwa nyundo!! Na kama unadhani siku hizi watu hawasafirishi nyara za serikali, soma hapa:-

Hiyo Nyerere Dam wala haijakamilika, na wakati Contractor mwenye utaalamu anasema Bwawa linatakiwa kujazwa December 2022, Kaleman mwanasiasa ana-force lijazwe November 2021! Lakini kubwa kuliko yote hayo, pamoja na kumpamba kote huko hadi sasa bado taifa linategemea umeme alioukuta!!!

Yaani Contractor anayefahamu workload anasema Bwawa linatakiwa kujazwa mwakani December, Mwanasiasa anasema lazima lijazwe mwaka huu!! Na hapo unaweza kukuta hata upelekaji wa
haujafika popote, na hadi kesho bado tunatumia umeme alioukuta! Kule Rusumo wameenda kuzindua mradi wa umeme wakadanganya watu kwamba eti mradi wa JPM wakati Mradi wa Rusumo umeanza tangu 2013!!

Uchumi wa JPM ni uchumi wa mdomoni uliojaa propaganda!!! Kwa mfano, TZ ilipoingia uchumi wa kati, propaganda zikaenea kwamba eti tumeingia kabla ya wakati ili hali ukweli ni kwamba, Vision 2025 inasema uchumi wa kati wa angalau $3000 huku sie tukiwa tumefikia $1080 halafu mnadanganya watu kwamba eti tumefika kabla ya wakati! Mbaya zaidi, wakati mnajaribu kutuaminisha tumefika hapo kwa ajili ya JPM lakini ukiangalia data za WB zinaonesha JPM kachukua nchi wakati GNI ikiwa $980 lakini yeye kwa miaka 4 YOTE ndo kwanza akafikisha $100 na hatimae kufikia $1080 wakati JK na Mkapa, both miaka 5 yao ya kwanza walipandisha kwa zaidi ya $200; now compare na hiyo $100 ya JPM from 4 years!!
Mi naona sasa ifike sehemu tupate common ground. Kwamba baadhi ya hoja zako kuhusu economic policies za JPM ziko valid, yaani si ishara nzuri sana iwapo private sector haikui.

Wakati huo huo pia tukubaliane kwamba kuna haja kubwa sana ya kujenga uchumi halisi endelevu unaotegemea uzalishaji wa kutoka ndani, ambao unaomilikiwa na watanzania kwa kiasi fulani cha kuridhisha (iwe sekta ya umma au binafsi).

Hiyo ndio naiona kama common ground. Vinginevyo akija rais atakayeturudisha enzi za Kikwete, za kuwafanya watu wafurahi kama wabugia unga, kwa hasara ya kupwaya kwa uwekezaji muhimu utakaoifanya nchi ijitegemee hata kwa miaka 100 ijayo, kaa ukijua kuna watanzania hatutakubaliana na hali hiyo.

Kilichomweka JPM madarakani ni sauti za watu, na wala hazikuwa zikimlenga JPM per se, zilizokuwa zimechoshwa na uchumi wa mabua. Watu wanapata hela, ndio, lakini imepatikanaje? Ukitrace, kuna libwashee moja limepitisha mzigo bandarini, mzigo wenyewe ni imports za kutoka China, bila kulipa kodi stahili kwa kumhonga afisa fulani bandarini. Matokeo yake? Well, bwashee atafurahi maana atagenerate super-profit, afisa atafurahi maana ana guarantee walau ya kutoka bandarini na milion kumi walau kila baada ya siku mbili, mtaani hela itaonekana maana bia zitanyweka, n.k, n.k. Lakini je barabara zitajengwa kwa style hiyo? Hospitali zitakuwa equipped? Hydro Power zitajengwa ( au ndio tutegemee tena akina IPTL?)

Anyway kama hutaki common ground na unaona sera zote za JPM zilikuwa hazina mantiki, then we are doomed! Maana watu kama wewe mpo wengi sana, na hofu yangu ni kwamba mna kelele nyingi pia. Msije mkamoverwhelm mama akaja kuturudisha kule. But at the same I am optmistic kwa sababu spirit ya Nyerere ilizimwa enzi za Mwinyi, Mkapa na JK ila ikaja ikaibukia kwa JPM, mtu ambaye hakufanya kazi hata na Nyerere.

Maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba mara zote ukweli hushinda dhidi ya uongo, na uchumi uliojengwa dhidi ya msingi wa mchanga hauwezi kufanikiwa, ni uchumi wa uongo. Mtapatapata vihela vya vodafasata lakini badae mnakuja kustuka kwamba mbona bado maskini tu tena umaskini fukara. Kwa hiyo ndugu yangu, hebu ifike pahala tuseme kwamba tunahitaji pesa lakini, iliyojengwa kwenye msingi imara.
 
Maneno haya yamenipa spirit kubwa sana, kutokana na kifo na mazingira ya kifo chake hakika JPM alisacrify maisha yake kwa ajili ya watanzania hasa watanzania masikini kwa namna alivyohangaika kuwatetea.

Tatizo lake la moyo halikuhitaji stress na kazi yake ya urais ilijaa stress na aliharibu kuizuia stress na ndiyo maana hata kwenye lockdown ama partial curfew alisikika akisema "hakuna kitu kibaya kama stress na msitegemee nitaweka lockdown" hii yote ni kujaribu yeye mwenyewe kuendelea na majukumu yake bila stress huku akijua kabisa moyo wake una tatizo.

Huu ndiyo upendo wake kwetu, zawadi ya uhai kwa ajili ya watanzania hasa watanzania masikini. "Huu ndiyo upendo wa kweli, upendo wa mtu kutoa uhai wake kwa ajili ya MTU mwingine".
Watanzania wepi? Labda wasukuma wenzake na warundi maana ndio aliwajaza serikalini.

"The moment aliposema msiwabomolee nyumba watu wa Mwanza kwa sababu walinipa kura" halafu akawatendea unyama watu wa Kimara bila huruma. Ndio nilipojua kwamba huyu ni Shetani.
 
Ulitaka afute aanzishe yake ya koroboi na mafuta ya taa... Pumbavu kabisa... Hata maisha yako ni mwendelezo wa walichofanya wazazi wako... We need a person who will work on behalf of massive citizens ...na amemudu kuweka pamba masikioni akafanya wonders ... Nchi ilikuwa inamiradi mfu, madeni hewa, idadi ndogo ya gituo vya afya, umeme unaopatikana kwa mgao, barabara mbovu leo hii kaenda extra miles bado unawaza ujinga wa akina Mawazo and alike. Hiyo roho mbaya unayodhani alikuwa nayo unao ushahidi kwamba alihusika? Pathetic
Seriously na wewe unaamini ulichokiandika?

Magufuli kakuta miradi mingi ishapangwa, ishatafutiwa pesa kazi yake ni kuiendeleza tu
 
Back
Top Bottom