OTIS JF-Expert Member Sep 7, 2011 2,251 827 Feb 12, 2012 #1 Kada wenu wa Chama Cha Mapinduzi baada ya kutingwa kwa majukumu sasa nimerudi tena. Idumu CCM mpya. OTIS
Kada wenu wa Chama Cha Mapinduzi baada ya kutingwa kwa majukumu sasa nimerudi tena. Idumu CCM mpya. OTIS
nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Feb 12, 2012 #2 Unakumbuka shuka wakati kumeshakucha
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Feb 12, 2012 #3 Ulienda wapi? Enewei jisevie kinywaji upoze koo...
Mkuu wa chuo JF-Expert Member Feb 3, 2011 7,608 5,269 Feb 12, 2012 #4 kumbe ni wewe mvivu wa kufikiri! Kama vipi nenda moja kwa moja kwenye jukwaa la kikubwa.
Leonard Robert JF-Expert Member Apr 22, 2011 11,064 7,196 Feb 12, 2012 #5 karibu jakaya ameshatumia mawazo yetu kwenye mswada wa katiba mpya.
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Feb 12, 2012 #6 OTIS said: Kada wenu wa Chama Cha Democrasia na Maendeleo baada ya kutingwa kwa majukumu sasa nimerudi tena. Peoples Power.....! OTIS Click to expand... Karibu sana Mzee wa CHADEMA
OTIS said: Kada wenu wa Chama Cha Democrasia na Maendeleo baada ya kutingwa kwa majukumu sasa nimerudi tena. Peoples Power.....! OTIS Click to expand... Karibu sana Mzee wa CHADEMA