Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
WanaJf Natumaini hamjambo. Nimerudi salama ingawa sikuaga. Nilikuwa niliondoka kupanda mlima wetu Kilimanjaro tarehe 30 Nov 10. Safari ilianza pale machame gate as expected. I were with friends from Norway na walikuwa 13. Mkosi ulianza mapema tu! Siku ya pili tu mmoja wa rafiki zangu (mwanamke) aliugua na kuamualiwa arudi chini. We had a great time infact. On a summit push (that was 5th December) at about 5300meters absl niligundua kuwa mmoja wa rafiki hakuwa salama. Nilikubaliana na mmoja wa technical adviser from Norway kwamba he should go down to Barafu camp haraka. While tukiongea aliomba kukaa chini. Kwa mshangao tulipomsemesha within 5 seconds! Hakujibu. We was gone. My friend DIED at 5300mts ABSL saa 03:20. Tulipata ushirikiano wa kutosha toka uongozi wa KINAPA kusema ukweli. Tunategemea kusafirisha mwili wa O C Pettersen kesho Jumamosi. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Wakuu niko salama na nitakuwa nanyi hapa.