NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
a,aleykum wapenz wangu wa humu,, nawajulisha tu kiufupi nimerudi nikiwa hai,,,mana mda wa siku takriban 5 days,,,nilipatwa na maradhi kidogo lakini la ila llah,,nimerudi ndugu zangu,,,ispokua kuwajulisha na kuomba sala zenu nilikutwa na maradhi ya qalb (hearts probems)ila si kubwa linawezekana ku be solved wiithin 3months,,dua zenu pia muhimu,,,tuko wote alhamdulillah,,:A S-rose::A S-rose::grouphug: