leroy JF-Expert Member Dec 8, 2010 1,589 2,140 Jun 6, 2013 #1 Baada ya kupotea JF kwa takriban miezi 12 nimerudi nikiwa na kazi na weledi usiopimika. Nabisha hodi naomba kukaribishwa. Wenu, Leroy JF Senior Expert Member
Baada ya kupotea JF kwa takriban miezi 12 nimerudi nikiwa na kazi na weledi usiopimika. Nabisha hodi naomba kukaribishwa. Wenu, Leroy JF Senior Expert Member
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,779 Jun 7, 2013 #3 Ukipotea mara ya pili tutaonana kiyama!
Arushaone JF-Expert Member Mar 31, 2012 15,136 13,258 Jun 7, 2013 #4 Nakukaribisha kwa mikono mitatu ila; Angalizo hiyo kasi mpya isije ikawa kama ile alotwambia JK enzi akiomba kura kwa wadanganyika. Welcome back mkuu.
Nakukaribisha kwa mikono mitatu ila; Angalizo hiyo kasi mpya isije ikawa kama ile alotwambia JK enzi akiomba kura kwa wadanganyika. Welcome back mkuu.