Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

you better make quick,to stop that manner of her.akiacha na kukaa kimya ataona pia unapendezwa na ujinga anaoufanya,next atapiga hatua kwenye kipengele kingine kinachoendana na huo ujinga,be careful man.wanawake wanapenda ku test Kwanza ukijaa tu yatakayo jili baadae utajilaumu why don't u stop her soon.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Nyie watu vipi... Em soma jina la alieleta mada na jina la uliemjibu...
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Umeoa na ndoa kabisa?
Una umri gani
 
Mkuu fahamu kwamba yuko mazoezini hivyo mauno yasikutishe lingine binadamu yoyote ni mwehu katika mazingira yake binafsi yaani anapokuwa mwenyewe na anafahamu kuwa haonekani na kiumbe kingine chochote anafanya vya ajabu mno.
Hata mie nafanya sana sijui kwa nini? Unakuta nipo barabarani kabisa lakini zile za style za kushangilia kama nimefunga goli, nipige pige kifuani, mara nikimbie màana kucheza mpira ndio maisha yangu, yawezekana na hiyo mke ni dancer aisee
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Kawaida tu ila kuna dalili kuwa huo mwili wewe huutumii vizuri
 
Mkuu yani hapo alikuwa anakusubiri wewe umpelekee moto.

Kama hukufanya hivyo utakuwa umeniangusha sana.
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?

Imekuwaje umeoa wakati bado wewe ni kichwa panzi?
 
Haya jamani kwa wale mliokuwa mnataka picha akiwa anacheza hii hapa mwanzisha thread kashindwa kuiattach hapa akani PM nimsaidie, na mm Nikiwa kama mzalendo wa nchi yangu nimefanya uungwanaView attachment 1706119
Mkuu mi nikiona kiuno kama hichi simuachi aisee, kuna demu huku mtaani kwetu alikaa vibaya nikaona shanga kiunoni mpaka leo nikimuona nammezea mate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom