cantonna
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,120
- 439
Kweli kutokana na majibu ya mh. mbowe nimeamin kuwa cdm ni taasisi yenye utulivu mkubwa sana ktk masuala nyeti kama haya! kila mtu alikuwa anataka kila kiongoz atoe taarifa juu ya kupotea kwa ben na wengi kuhoji why mbowe yupo kimya? kumbe chama kina watu wake wa kutoa taarifa na si kila taarifa lazima itolewe na mwenyekiti. jana mwenyekiti wetu katoa majibu mafupi na yenye maana kwan hakuwapa kabisa watesi wetu kujua hatua tuliyofikia juu ya ndugu yetu ben!