bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,119
- 20,008
Ukishobokea hela uta abudu watu, ridhika na unacho kipata , wewe huna hela nyingi una elimu, yeye hana elimu kubwa ana hela nyingi mzani ume balance tuliza moyo wakoLaki mbili na nusu! Nina digrii huku Samatta akiwa kaishia kidato cha nne tu! Ndiyo sababu namheshimu na kuwapuuza wale wote wanao mchukulia kama mtu wa kawaida katika kipengele chochote kile, akiwemo huyo Mrs Petro hapo juu.