Itakuwa huna au uwezo wako wa kuelewa Mambo ni mdogo.pole
kwamba samatta ni utopolo..dah umasikini mbaya sanaAcha kufananisha Torres na utopolo wewe.
Naunga mkono hoja
Samatta ana uwezo mdogo anazidiwa hata na konde boy
Dah kumbe ni kweli Samatta alikuwa kama Yikpe
THIS IS WHEN POVERTY HITS YOU ....Samatta ni wa kawaida sana
. kila wiki yuko mahakamaniWewe ni wa tofauti! Mwenzako salary inasoma kila wiki. Wewe kila wiki uko mahakamani kuvizia watuhumiwa wa uhujumu uchumi ili upate chochote.
Unazingua Wakili msomi. Tusimkatishe tamaa mtu ambaye ni mpambanaji kuliko sisi. Ni Mtanzania wa kwanza kati ya Watanzania karibia milioni 60 kucheza EPL, kucheza GENK, Ligi ya Mabingwa Ulaya, Europa Ligi! Nk.
Halafu unasema Samatta ni wa kawaida sana!! Sikubaliani na wewe.
Wewe unapata sh ngapi kwa week?Wewe ni wa tofauti! Mwenzako salary inasoma kila wiki. Wewe kila wiki uko mahakamani kuvizia watuhumiwa wa uhujumu uchumi ili upate chochote.
Unazingua Wakili msomi. Tusimkatishe tamaa mtu ambaye ni mpambanaji kuliko sisi. Ni Mtanzania wa kwanza kati ya Watanzania karibia milioni 60 kucheza EPL, kucheza GENK, Ligi ya Mabingwa Ulaya, Europa Ligi! Nk.
Halafu unasema Samatta ni wa kawaida sana!! Sikubaliani na wewe.
Hoja hapa ni kiwango cha uwanjani cha Samatta kama mcheza soka. Hakuna haka ya kuzungumzia kipato na kazi za watu. Mkuu, tujadili kiwango cha Samatta cha uwanjani na kuacha mambo mengine yasiyohusika hapa. Kumbuka, kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
utamaliza nguvu zako tu mkuu kwa raia wa aina hio ...mambo ya uchaguz pia yanatuchanganyaMbona kama umepaniki? Na wewe ni Wakili Msomi? Hata kwenye hicho kiwango, bado huwezi kumuongelea Mbwana Samatta kama mchezaji wa kawaida!
Labda umlinganishe na Messi au Ronaldo! Ukija kwenye mafanikio ya hicho kiwango, Samatta siyo mchezaji wa kawaida! Rekodi yake inambeba. Na nimeielezea hapo juu! Au hata macho nayo tu huna?
Kumponda Samatta anayelipwa mamilioni ya fedha kwa wiki iwe kwa hicho mnachokiita kiwango chake cha kawaida, na huku wewe ukikimbizana na Magufuli bado litabakia kuwa jambo la kushangaza sana.
Kama mnamuona ana kiwango cha kawaida, si muende nyinyi sasa mkachukue nafasi yake kama ni jambo rahisi! Watanzania majungu yatakuja yatuue siku moja.
Sisi Wahaya tunasema, "Ekyawe kijunda nokara"! Mimi nitaendelea kumuona Samatta ni kiboko sio zaidi ya Watkins tu bali zaidi ya Messi na Ronaldo!Kwa kiwango chake, ufungaji wake, kazi yake, umakini wake na mchango wake kwa timu mchezaji mpya wa Aston Villa Ollie Watkins amedhihirisha kuwa mshambuliaji Mbwana Samatta hakuwa msaada wowote kwa timu hiyo.
Watkins ambaye amefunga mabao matatu katika kipigo cha mbwakoko alichokipata Liverpool ambaye ni bingwa mtetezi leo cha mabao 7-2, ni wazi kuwa Samatta alikuwa mzigo kwa Aston Villa.
Ukweli usemwe, Samatta hakuwa na kiwango cha kuwika Premier League na kuwa msaada kwa Aston Villa. Labda awike huko Uturuki alipo. Watkins ni moto!
Kule kudensi kwa konde akikutana na waarab wa misri tu kinaisha na hutomwonaSamatta ana uwezo mdogo anazidiwa hata na konde boy
Mtoa mada kaongelea uwezo wake kuwa Epl sio kutetea taifa, tatizo huwezi kuchanganua Mambo. Kwani kujitetea Taifa Kamzidi Ngasa, Canavaro, Msuva au Juma kaseja?? Tena kea taarifa yako msaada wake n mdogo Sana kwenye timu ya Taifa kuliko kina MsuvaYupo njiani sasa anarudi kuja kulitetea Taifa lake kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Burundi. Lazima mkubali kumpa heshima yake.
Haiwezekani kijana amepambana mpaka hapo alipofikia, halafu nyinyi kutwa kumpiga tu majungu.
Ni utopolo kwa huyo anayefananishwa naye lakini kwa wachezaji wa TZ Samatta ni Torres wao, punguza mahaba usijekufa kabla ya siku zako maana imeandikwa kila kitu tuwe nacho kwa kiasi.kwamba samatta ni utopolo..dah umasikini mbaya sana
Mtoa mada kaongelea uwezo wake kuwa Epl sio kutetea taifa, tatizo huwezi kuchanganua Mambo. Kwani kujitetea Taifa Kamzidi Ngasa, Canavaro, Msuva au Juma kaseja?? Tena kea taarifa yako msaada wake n mdogo Sana kwenye timu ya Taifa kuliko kina Msuva
Wewe unapata sh ngapi kwa week?
Hamna kitu mle,hata kwenye reserve hawezi kupata nafasiKwa kiwango chake, ufungaji wake, kazi yake, umakini wake na mchango wake kwa timu mchezaji mpya wa Aston Villa Ollie Watkins amedhihirisha kuwa mshambuliaji Mbwana Samatta hakuwa msaada wowote kwa timu hiyo.
Watkins ambaye amefunga mabao matatu katika kipigo cha mbwakoko alichokipata Liverpool ambaye ni bingwa mtetezi leo cha mabao 7-2, ni wazi kuwa Samatta alikuwa mzigo kwa Aston Villa.
Ukweli usemwe, Samatta hakuwa na kiwango cha kuwika Premier League na kuwa msaada kwa Aston Villa. Labda awike huko Uturuki alipo. Watkins ni moto!
Naomba pia utuambie Watkins katengenezewa nafasi ngapi na Samatta alitengenezewa ngapi ili tuwianishe. Mnaoichambua Aston Villa baada ya Samatta sijui ni kwa nini huwa hamtaji mabadiliko mengine yaliyofanywa na timu. Asiyefuatilia mpira anaweza dhani kuwa Aston Villa wamemsajili Watkins pekee.Kwa kiwango chake, ufungaji wake, kazi yake, umakini wake na mchango wake kwa timu mchezaji mpya wa Aston Villa Ollie Watkins amedhihirisha kuwa mshambuliaji Mbwana Samatta hakuwa msaada wowote kwa timu hiyo.
Watkins ambaye amefunga mabao matatu katika kipigo cha mbwakoko alichokipata Liverpool ambaye ni bingwa mtetezi leo cha mabao 7-2, ni wazi kuwa Samatta alikuwa mzigo kwa Aston Villa.
Ukweli usemwe, Samatta hakuwa na kiwango cha kuwika Premier League na kuwa msaada kwa Aston Villa. Labda awike huko Uturuki alipo. Watkins ni moto!
Ingekuwa vizuri kama ungeanza na kiwango chako uwanjaniHoja hapa ni kiwango cha uwanjani cha Samatta kama mcheza soka. Hakuna haja ya kuzungumzia kipato na kazi za watu. Mkuu, tujadili kiwango cha Samatta cha uwanjani na kuacha mambo mengine yasiyohusika hapa. Kumbuka, kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.