kilamuruzi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,232
- 1,064
Asante kuwa na maono yaliyo thabitiChuma kile, kiboko cha PUMBAVU hizi...
Jambo ambalo watu wengi wanaliletea mzaha ni kufikiri demokrasi ya mzungu ya kubembelezana na kuleana leana ndio italeta maendeleo Africa..
Africa inahitaji Ubabe, unyama na kila aina ya ukatili kwa watu wake ambao wengi wao ni wapumbavu ili maendeleo ya kweli yapatikane..
RIP JPM...