Kwenye msafara wa mamba, hao walikuwa ni makenge!Mkombozi aliyeunda Genge la wahuni na Majangili kama Sabaya, Musiba, Bashite, Mchungaji Mashimo etc
Atakuwa Mkombozi wa wahuni
Kwenye msafara wa mamba, hao walikuwa ni makenge!Mkombozi aliyeunda Genge la wahuni na Majangili kama Sabaya, Musiba, Bashite, Mchungaji Mashimo etc
Atakuwa Mkombozi wa wahuni
Kwamba akina Musiba walikuwa Ma Kenge Tu, Kwamba kuna Ma Mamba Majangili Makubwa kabisaKwenye msafara wa mamba, hao walikuwa ni makenge!
Kwenye Yesu aliyekufa akiwa na miaka 32 tu naye ilikuwa Mungu anajibu masikitiko ya watu gani?Masikitiko ya watu zaidi ya mil 50 mungu aliyasikia na akajibu kwa mda wake sasa endelea kupoteza bando kwa kufanya ibada za wafu
Utani gani sasa? Wewe si unataka kiongozi aina ya Magufuli, Yupo Makonda na Sabaya.Acha Utani usije Kunikera na Nikakukera.
Hamtakaa mumpate tenaTuombe sana Mungu tupate tena kama yule au zaidi ya yule...
Kweli siamini kama niwewe uliyeandika hapaHayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii ( Mwezi Oktoba 2021 ) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Acha unafiki wewe ndio kila siku ulikuwa ukimshutumu hayati. Leo umekuwa kigeugeuKabisa Mkuu tumshukuru sana.
Acha unafiki wewe ndio kila siku ulikuwa ukimshutumu hayati. Leo umekuwa kigeugeu
Heshimu Mtizamo wangu na Mawazo yangu. Sasa kama unajua kuna nchi nyingi tu zilizoendelea na Unazipenda huenda unatamani hata Raia wao kwanini usiende Kuishi nao huko na ukatuachia tuendelee Kuipambania Tanzania yetu na Kuwalilia akina Nyerere, Mkapa na Dkt. Magufuli?Nchi zilizoendelea ukiondoka madarakani au ukifariki wanakuwa wamemaliziana na wewe, sisi tunaendelea kuwa na matumaini kuwa atatukomboa!
Afrika jinsi ilivyo na Watu ( Raia ) walio 'Goi Goi' inahitaji akina Hitler kama 60 tu ili Kuiamsha na Kuichangamsha Kimaendeleo na Kiuchapakazi.Hata Hitler wapo wanaomkubali.
Nakubaliana nawe tena 200% kabisa Mkuu. Nimechukua muda Kurejea 'Video' zake na Kugundua ya kwamba Mwenyezi Mungu alitupa Zawadi ya Thamani Hayati Rais Dkt. Magufuli na akaichukua mapema baada ya Kutuona Watanzania hatujamshukuru na Kuishukuru pia.Itachukua miaka mingi kumpata kama JPM.
Post yako tu hii imenifanya nianze Kulia.Tangu mwaka uanze nahisi huu ni uzi wako wa maana kuliko zote.
Anyway binafsi jpm nillikuwa namkubali kawaida tu hasa nikiwa sehemu ya changanyikeni kama humu, nilikuwa simchukii kama wengine, kuna vitu alikuwa akifanya nasema huyu kweli rais hata kama sisem ila moyoni nasema hili jembe.
Siku niliposikia habari za kifo chake trh 9 nilisikia maumivu ambayo sikujua yametoka wapi.
Miliogopa hata kumwambia mtu yeyote maana alienihakikishia kafa alinitaka nifunge mdomo wangu.
Nilikuwa nikiingia humu nakuta watu wanachangia nyuzi kibao eti jpm yupo wapi na mimi najilazimisha kuchangia as if sijui kinachoendekea.
Pili moyo haukuamini nilichoambiwa nikawa akisemea ' huyu mbwa nae mwongo jpm atakufaje kizembe hivi?
Siku moja nikataka kumwambia mama yangu moyo ukasema hapana yupo hai yule fala mzushi.
Trh 17 usiku nikaota eti kafa nikastuka usingizini nikajisemea hapana ni nawazo yaliyo kichwani mwangu coz nishapewa hiyo habari wiki moja kabla.
Niliamka nikapiga magoti nikasali mikasema hii ndoto isiwe kweli, nikaingia jf nikakuta mtu kapost eti kwa nini wasitangaze tu rais kashakufa kha! Ndo niliamini yale maneno.
Baada ya kutangaza nilipata maumivu ambayo sikujua yametoka wapi, maana niliona Tanzania ambayo jpm alikuwa akiitengeneza ikiyeyuka.
Niliona ujinga ukirudi kwa kasi, wizi, miradi yake ikifa, nidham ya watumishi ikirudi 0, ufisadi nje nje , majambazi wakirudi kwa kazi, unyanyasaji wa wanyonge, viongozi kula mishahara ya bure,kupewa kazi kwa kujuana, vyeti feki,
Nikaona lile genge sugu la majambazi wanaotesa nchi wakifurahia kifo chake, nililia sana nikasema Mungu alitupa malaika ila wengi tulichukulia poa.
Huko ulipo jpm ulale salama, hakuna siku imepita bila kukukumbuka. Binafsi nimekumiss sana.
Rip jpm.
Amen!!Amen!!Amen!!Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.
Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii ( Mwezi Oktoba 2021 ) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.
Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.
Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Anisamehe huko aliko kwa kuwa 'Mkosoaji' wake kwani kuna mahala nimegundua GENTAMYCINE nilikuwa namlaumu pasipo Kutizama kwa 'Angles' mbalimbali na Jicho pana Kimtizamo.RIP Baba Magu all those who are genuine remembers you .
Mkuu popote pale ulipo kwa post yako hii naomba nikupigie 'Salute' ya Heshima tena ile ya Kijeshi kabisa.Chuma kile, kiboko cha PUMBAVU hizi...
Jambo ambalo watu wengi wanaliletea mzaha ni kufikiri demokrasi ya mzungu ya kubembelezana na kuleana leana ndio italeta maendeleo Africa..
Africa inahitaji Ubabe, unyama na kila aina ya ukatili kwa watu wake ambao wengi wao ni wapumbavu ili maendeleo ya kweli yapatikane..
RIP JPM...
Ulithibitishiwa kuwa 'Hayati' aliwauwa?Uhai ni muhimu kuliko vitu.
Ben Saa8 ,Kanguye ,Gwanda etc walipotea awamu ya JIWE.