mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,346
- 2,775
- Thread starter
- #61
Daah... Nimekuelewa Sana mkuu.Kwaninavyo fikiri ni kuwa huna malengo kwa kifupi umeridhika pengine hapo ulipofika ndo ulipokuwa umejiwekea malengo kabla hivyo unajiona ushatimiza kila kitu. Jaribu kupanga malengo mapya naamini yatakupa msukumo wa kupambana zaidi ili uweze kuyatimiza
Asante