Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,646
- 34,284
Wakuu nilikua ninademu ambae ni wamuda mrefu sana nilipanga nae mipango mingi ikiwa ni pamoja na kumuowa, familia yake ilinijua na yangu ilimjua pia, mahusiano yetu yalidum zaidi ya miaka mitatu
Nilisafiri kikaz na kuwa nae mbali kwa muda kama wa mwaka mmoja huku tukiendelea na mawasiliano na mipango yetu ikiwa ni ileile ya kumuowa baada ya kurud na familia yangu na yake ilijua hivyo kuwa nikirud ni ndoa
Lakin baada ya kurud nimegundua kuwa amechora tattoo kwenye paja, kiukweli baada ya kugundua nimejikuta namchukia sana, moyo wangu unaamin kila mwanamke mwenye tatto ni malaya, nimesitisha mipango yote ya kumuowa.
Wazazi wake na wangu wanajuana na wameniweka kikao kuniuliza juu ya ndoa nimekataa sitomuowa huyo bint na nikiulizwa ni kwann nashindwa kuelezea sababu mwsho wa siku imekua mgogoro baina ya familia yangu na yake.
Najaribu kuuamimisha moyo wangu kuwa siyo kila mwanamke mwenye tattoo ni malaya lakin moyo umekataa kuamin.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisafiri kikaz na kuwa nae mbali kwa muda kama wa mwaka mmoja huku tukiendelea na mawasiliano na mipango yetu ikiwa ni ileile ya kumuowa baada ya kurud na familia yangu na yake ilijua hivyo kuwa nikirud ni ndoa
Lakin baada ya kurud nimegundua kuwa amechora tattoo kwenye paja, kiukweli baada ya kugundua nimejikuta namchukia sana, moyo wangu unaamin kila mwanamke mwenye tatto ni malaya, nimesitisha mipango yote ya kumuowa.
Wazazi wake na wangu wanajuana na wameniweka kikao kuniuliza juu ya ndoa nimekataa sitomuowa huyo bint na nikiulizwa ni kwann nashindwa kuelezea sababu mwsho wa siku imekua mgogoro baina ya familia yangu na yake.
Najaribu kuuamimisha moyo wangu kuwa siyo kila mwanamke mwenye tattoo ni malaya lakin moyo umekataa kuamin.
Sent using Jamii Forums mobile app