ooh,
pole sana mkuu Pdidy,
Mungu akutie nguvu katika kipiondi hiki kigumu ulichonacho,
wana JF tuko pamoja katika kumuombea mpendwa wetu, sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi.
roho ya marehemu ipumzike kwa amani, Ameni.
Pole sana mkuu yeye katangulia sisitutafuata, hakika njia yetu ni moja kwakuwa sote tuu mavumbi na mavumbini tutarudi ingawa hatujui siku wala saa.Mungu awape nguvu muweze kuukabili msiba huu mzito.
Pole sana mkuu! Hutulazimu kunena ya kwamba "kazi yake Mola haina makosa". Japo nyoyo uuma sana kwa uchungu na huzuni ila hatuna jinsi njia yetu ni moja nasi tu safarini. Tumuombe kwa Mungu roho yake aipumzishe mahali pema kwa Amani na nuru ya milele amuangazie.
Mola akutie ujasiri na uvumilivu katika kipindi hiki...! Pole sana.
dah! pole sana sana pdidy.....................i don't want to imagine how difficult it is. But Mungu wa mbinguni akutumie msaada wake toka mbinguni. ni wapi maziko?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.