Nimepoteza folder kwenye computer yangu

Kipeperushi

Senior Member
Aug 17, 2011
168
33
Habari zenu wana jamii, nitafurahi sana iwapo nitapata msaada toka kwenu maana nimekuwa nikifuatilia sana mambo yanavyoendelea humu ndani ya nyumba hii na nimegundua kwamba watu wengi huwa wanafanikiwa kwa namna mbalimbali kupitia uwanja huu wa JF. Ni mara yangu ya kwanzs kuigia humu jamvini, hivyo naomba niseme HODIII...!!??

Nimepoteza folder muhimu kwenye Computer yangu(DOWNLOADS). Tatizo ninalolipata sasahivi ni kwamba kila ninapo download kitu kutoka kwenye internet napewa maelekezo kwamba destination ya hicho ninacho download ni kwenye folder inayoitwa TEMPORARY FOLDER. Hii folder mimi sijui nitaipataje kwenye Computer, naomba kama kuna mtu yeyote anaejua altenative way ya kuzipata hizi downloads anielekeze. Zamani nilikuwa nazipata kwenye hii folder ambayo haipo tena kwenye computer yangu.
 
Habari zenu wana jamii, nitafurahi sana iwapo nitapata msaada toka kwenu maana nimekuwa nikifuatilia sana mambo yanavyoendelea humu ndani ya nyumba hii na nimegundua kwamba watu wengi huwa wanafanikiwa kwa namna mbalimbali kupitia uwanja huu wa JF. Ni mara yangu ya kwanzs kuigia humu jamvini, hivyo naomba niseme HODIII...!!??

Nimepoteza folder muhimu kwenye Computer yangu(DOWNLOADS). Tatizo ninalolipata sasahivi ni kwamba kila ninapo download kitu kutoka kwenye internet napewa maelekezo kwamba destination ya hicho ninacho download ni kwenye folder inayoitwa TEMPORARY FOLDER. Hii folder mimi sijui nitaipataje kwenye Computer, naomba kama kuna mtu yeyote anaejua altenative way ya kuzipata hizi downloads anielekeze. Zamani nilikuwa nazipata kwenye hii folder ambayo haipo tena kwenye computer yangu.


Yes hiyo ni default setting ya browser kuwa dowload zote unazofanya huwa zzinakwenda kwenye temp folder .kama unatumia firefox Jinsi ya kulipata ni futa path hii. kwa hiyo sio virusi wala sio tatizo la mashine kama wanavyodai baadhi ya wadau
I
C-> Document and setting---> username folder ---> local settings ---->temp( uaweza uyakuta hapa)

II
Njia nyingine tumia serach tool. search kwenye drive C . kwenye kibox cha kuingiza keyword andika neno temp.

III
Ukishidnwa kabisa kwenye browser yako nenda kabadilishe path ya kuweka downloads. Badilisha path rahisi utayokumbuka . Mfano kwenye c tengeneza folder liite dowload au jina lolote
firefox soma hapa Change the Default Download Location for Mozilla Firefox
IE soma hapa Internet Explorer 9 - Change Default Download Location - Windows 7 Forums

otherwise google how to change default dowload location in ( whhttver broser unayotumia )
 
Mimi sina utaalmu wa hizi tekinolojia za kisasa, lakini faili likinipotea, huenda kwenye Drive C, ninabonyeza hapo, na juu upende wa kulia pale palipo na search, huandika jina la file ninalotafuta na ninapoandika herufi za mwanzo tu huanza kutafuta na faili hujitokeza. Lakini maelezo mazuri zaidi ni hayo aliyokupa Mtazamaji.
Good Luck
 
Asante Mtazamaji, naelekea huko ulikonielekeza.., nahisi kama nakaribia kufika ingawa issue bado iko "tough" kidogo lkn I think I am Trying to my best level, hii option ya Google naona kama inanipa mwelekeo mzuri. Big up 2 U mkuu. Otherwise nawashukuru sana wadau wote mlioshiriki katika kunipa mchango wa mawazo katika tatizo langu. Tuko Pamoja...!
 
Yes hiyo ni default setting ya browser kuwa dowload zote unazofanya huwa zzinakwenda kwenye temp folder .kama unatumia firefox Jinsi ya kulipata ni futa path hii. kwa hiyo sio virusi wala sio tatizo la mashine kama wanavyodai baadhi ya wadau
I
C-> Document and setting---> username folder ---> local settings ---->temp( uaweza uyakuta hapa)

II
Njia nyingine tumia serach tool. search kwenye drive C . kwenye kibox cha kuingiza keyword andika neno temp.

III
Ukishidnwa kabisa kwenye browser yako nenda kabadilishe path ya kuweka downloads. Badilisha path rahisi utayokumbuka . Mfano kwenye c tengeneza folder liite dowload au jina lolote
firefox soma hapa Change the Default Download Location for Mozilla Firefox
IE soma hapa Internet Explorer 9 - Change Default Download Location - Windows 7 Forums

otherwise google how to change default dowload location in ( whhttver broser unayotumia )

BIG UP Mkuu naelekea kuzuri sshv hii option ya Google naona ni Baaab Kubwa...! Nikipata prob. nitaiweka hewani.
 
sijaelewa unahitaji kubadili mpangilio wa kirambaza chako au kulipata tena hilo kablasha ulilopoteza!
 
sijaelewa unahitaji kubadili mpangilio wa kirambaza chako au kulipata tena hilo kablasha ulilopoteza![Halo..! asante kwa kuwa pamoja nami. Ni kwamba siioni tena hii folder (DOWNLOADS) kwenye computer yangu, sina uhakika kama nili-delete au vipi maana hata kwenye recycle bin nimeshajaribu kupitia lkn haipo. Msaada niliokuwa nahitaji ni namnagani naweza kulirudisha tena ili niweze kuzipata downloads ninazozichukuwa toka kwenye internet. Wanajamii walishanipa mawazo ambayo nimejaribu kuyafanyia kazi lkn mwisho wa siku bado nimeshindwa kuiona hii folder. Shukrani kubwa sana kwenu. MTAZAMAJI alinipa option ya kwenda Google; i.e. google Change Default Download Location in Internet Explorer (Browser Ninayotumia) lkn bado kila ninapojaribu kufuata instructions zilizopo hapo, mwiisho wa zoezi bado nashidwa kuipata hiyo folder.]
 
asante kwa kuwa pamoja nami. Ni kwamba siioni tena hii folder (DOWNLOADS) kwenye computer yangu, sina uhakika kama nili-delete au vipi maana hata kwenye recycle bin nimeshajaribu kupitia lkn haipo. Msaada niliokuwa nahitaji ni namnagani naweza kulirudisha tena ili niweze kuzipata downloads ninazozichukuwa toka kwenye internet. Wanajamii walishanipa mawazo ambayo nimejaribu kuyafanyia kazi lkn mwisho wa siku bado nimeshindwa kuiona hii folder. Shukrani kubwa sana kwenu. MTAZAMAJI alinipa option ya kwenda Google; i.e. google Change Default Download Location in Internet Explorer (Browser Ninayotumia) lkn bado kila ninapojaribu kufuata instructions zilizopo hapo, mwiisho wa zoezi bado nashidwa kuipata hiyo folder.]

Unajua ni kwamba hata maelezo niliyokupa ni mwanzo ni mengi sababu watu hawajui kuelezea matatizo yao. Kama hujataja unatumia OS hujataja unatumia Browser gani na version ya hiyo browser . Sasa umetaja IE lakini haijulikani ni version gani. So the best mtu atafaya ni kubahatisha au kukupatia lundo la majibu ya kubahatisha. Ndio nilifanya kule juu.

Sasa kwa sabbau hata hiyo IE unayotumia hujataja version yake bado hujakamilisha maelezo yako vizuri. lakini kama unatumia IE 9 jaribu kusoma hapa unaweza kupata msaada Internet Explorer 9 - Change Default Download Location - Windows 7 Forums

Kujua version ya OS ingesaidia kukupa maelekezo ya kutumi a tool ya search. Ukitumia search tool unaweza kuingiza jina la file ulilodwload unalotfuta au jina la hilo folder ya temp au folder ambayo ina dowload zote.



Pia tunaweza kufuta melekezo ya video za yutube kama hiii inayoeleza jinsi kutafuta file kwenye windows 7. Andika serachin file in XP or window7 or vista



Otheriwise Pole sana mkuu komaaa na search
 
Last edited by a moderator:
kama kweli inakuambia ipo kwenye temporary folder basi, basi fungua kile kikomandi cha RUN halafu andika %temp% then bonyeza enter itakupeleka kwenye temporary file zote ambazo hazina kazi kwenye komputa yako huenda pia hizo downloads zako pia zipo pale..
 
Asante mkuu umenipa maelezo ya ziada sana, acha niendelee kufuatilia maelekezo yako, nitakupa feedback. Thanks a lot.
 
kama kweli inakuambia ipo kwenye temporary folder basi, basi fungua kile kikomandi cha RUN halafu andika %temp% then bonyeza enter itakupeleka kwenye temporary file zote ambazo hazina kazi kwenye komputa yako huenda pia hizo downloads zako pia zipo pale..[ Asante mkuu; nimekwenda kwenye hiyo RUN_,%temp%, nimekuta folders nyingi na kuzipekua, lkn nilikuwa interested sana na moja (TEMPORARY INTERNET FILES) unfortunately hii iko totally empty. Thanks for your help.]
 
run %temp% ni mwake mwake au Njia nyingine ambayo ni poa kabisa hata ukiwa umesikiliza music au umetizama movie kwenye net zote huwa zinajisave kwa kutumia njia hii ni utaziona kirahisi kabisa na pia unaweza zisave japo ni kama uwizi.

Tools

Internet options
Brousing History Settings
View files
Hapo utakuwa ushafika kwenye temp file una set kwa size kubwa kwa ndogo so zile kubwa zinajipanga kazi yako inakuwa ni kucopy files uzikakazo na kujiwekea kwenye folder zako kama unachuma karafuu vile
 
google program moja inaitwa 'Tune up utilities', ndani yake kuna recovery tool nzuri sana, ina uwezo wa kurcover mafaili yote uliyodelete na ambayo hayapo kwenye recycle bin, ili mradi tu usiwe umeformat computer yako
 
google program moja inaitwa 'Tune up utilities', ndani yake kuna recovery tool nzuri sana, ina uwezo wa kurcover mafaili yote uliyodelete na ambayo hayapo kwenye recycle bin, ili mradi tu usiwe umeformat computer yako
<br />
<br />
 
google program moja inaitwa 'Tune up utilities', ndani yake kuna recovery tool nzuri sana, ina uwezo wa kurcover mafaili yote uliyodelete na ambayo hayapo kwenye recycle bin, ili mradi tu usiwe umeformat computer yako[Hellow Sniper, thanks a lot..! Let me try it. I willl contact you thru your private box. Have a good time & let God bless you..!]
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom