HahahaaaaaNenda tra, mpeleke na huyo dogo aliyefuta msg umtumie kama attachment kwenye maombi yako.
Iliko nyumba yako ipo TRA au Afisa mtendaji wa mtaa wako iliko nyumba ana detail, mie niliwahi kupoteza Afisa mtendaji alinipatia kwani fomu toka TRA zipo kwa Afisa mtendaji.Habari za leo ndugu wanaJF? Ninaomba msaada wa kupata cotrol number ya kulipia jengo. Number hii nilitumiwa na TRA kwa sms. Sms yenyewe dogo ameifuta alipokuwa akichezea simu yangu. Naomba mwenye njia mbadala ya kuipata anisaidie.