Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,932
"Mwanamke mmoja wa kizungu aliniomba urafiki huko Facebook, nikakubali na akaruka inbox siku hiyo hiyo.
Alijitambulisha kwa jina la Dkt.Christina kutoka London, Uingereza. Akasema yeye ni daktari bingwa wa magonjwa ya watoto katika hospital kubwa huko London. Pia anapenda kumtumikia Mungu katika kufariji na kutoa misaada kwa wenye h
Chanzo: Watu Na Story
Aisee wewe ni mjanja sana,, na inavyoonekana hauishi dar. Kama co wa mwanza bac dodoma or morogoro. Mwanaume wa dar lingemkuta hili dahh 🤣